Wakali wa umombo JF...

Wakali wa umombo JF...

Hahaha,

Hapa ndipo wale wenzetu nshomile wanasema "I rest my case".

Angalia the new Taliban wasikutafune lakini.

Heaven is really on earth, pie in the sky is a lie after you die.

hahaaaa nitashushiwa mistari hapa na vifungu vyote.........

I don think If I will manage kujibu hoja zao kama wewe..........

tell me do you read a lot of books.!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi unafahamu kwamba Zanzibar, Comoro, Mauritius pia ni overseas? unaelewa kingereza kweli wewe?

Overseas from where? Ukiwa Zanzibar, Zanzibar itakuwaje overseas?

Unajuaje kama siongelei huko?

Na wapi nilishawahi kutamba kwa kujua kiingereza?

Unajua kusoma wewe?
 
Huyo mfuga majini ni mfuasi wa shetani tu labda anajuwa ile lugha ya Lucifer tu.

Mtoto wa kiume akifikia kipindi akajiita Asha halafu akaandika hadharani kuwa alibakwa huko mtwara basi ujue mchungaji alisha chunga ile maneno loooong ago!

I always say to you my adopted son Matola:

It is the peculiar quality of a fo.ol to perceive the faults of others and to forget his own and True wisdom is less presuming than folly.
The wise man doubteth often, and changeth his mind; the fo.ol is obstinate, and doubteth not; he knoweth all things but his own ignorance.
 
Last edited by a moderator:
Sasa na sie tusiojua lugha ya watu itabidi tujifunze espanol sasa
 
"is a waste of time" and then you have the bloody nerve to talk about my linguistic abilities.

Miss donkey una matatizo kweli (unafahamu maana ya "neddy" since you are so bent on linguistic acumen? )

Wacha kujikweza wewe!
Hayo ni matatizo ya akili!
Je! Uliufahamisha ummah maana halisi ya "KIRANGA"!?

Hebu waandikie hapa watu wakusome!
 
you speak language that is not english
and it is possible that you do not exist on earth
you live in your own world

ha ha ha ha...kaa pembeni....kiukweli cmpendi kiranga tena sana kwa kuwa c muumini wa uwepo wa MUNGU ila kwa kingerza yupo vzuri sana tu!!!
kaa pembeni huyu jama co level zako..unajidharaulisha!!
 
ha ha ha ha...kaa pembeni....kiukweli cmpendi kiranga tena sana kwa kuwa c muumini wa uwepo wa MUNGU ila kwa kingerza yupo vzuri sana tu!!!
kaa pembeni huyu jama co level zako..unajidharaulisha!!

kujidharaulisha??,?,???????? hata mimi namkubali Kiranga lakini anapoongea misamiati ambayo hata nyinyi hamuielewi halafu mnabaki kushangilia ni ujinga ambao siwezi kuufanya kamwe
 
Last edited by a moderator:
umombo...umombo.!! wakati kiswahili tu full-kushikana mashati...!!!! unaangaika na kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio na huku boriti la jicho lako ni bovu kuliko la unaemsaidia.....fikiri kabla ya kutenda sifa punguza....!!!!
 
kujidharaulisha??,?,???????? hata mimi namkubali Kiranga lakini anapoongea misamiati ambayo hata nyinyi hamuielewi halafu mnabaki kushangilia ni ujinga ambao siwezi kuufanya kamwe

unajidharaulisha pale unaposema kuwa anaongea lugha ambayo duniani haipo kumbe ni uwezo wako mdogo wa kuelewa.....hyo misamiati migumu ndio inayompa crdibility...na simshangilii ila nakiri kuwa cognitive ability yake ipo juu kwa upande wa lugha!
 
Last edited by a moderator:
Kiranga sio mtu wa kupenda sifa wala kuogopa lawama.

Kupenda kusifiwa au kuogopa lawama hakujawahi kunizuia kujieleza ninavyofikiri.

Na sina mpango wa kuanza kubadilika sasa.

Nakumbuka kuna siku tulikua tunajadili jambo, naomba nikunukuu kwa kiswahili ukasema

"..unaweza kujiona ni samaki mkubwa kumbe ni udogo wa dimbwi"

Nafikiri ulichomaanisha hapa sio kutukana JF kama wengi walivyochukulia ila inategemea unasifiwa na nani na kwa vigezo gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom