Shukran.
Usijali..my pleasure
Shukran.
hicho ndio kigezo kinacho mfanya kimweri kuwa wa pekee ktk mijadala.post ndefu halafu imejaa mantiki tupu.kuna watu mungu kawajalia vipawa aisee.Kimweri anajua kujenga hoja fast na kwa mtiririko wa kimantiki au hata kimtaa. Wengi hilo linawashinda inabaki lugha kingereza lakini hoja za kutafuta.
NYANI NGABU ANAONGEA PURE ENGLISH.Hongera aisee!
Kimweri si tu kingereza,anaweza kubishana na mtu hata kwa kiswahili cha kimtaani na akashinda mnakasha.halafu jamaa ni bingwa wa kuandika post ndefu hapa JF kwa mda mfupi na bado ikawa na nondo tupu.huwa inamsaidia sana kuwachanganya wapinzani wake anaojadiliana nao since wengi wetu huwa hatupendi kusoma post zenye maneno mengi(kasumba ya baadhi ya waafrika ya kutopenda kusoma).wakenya kule kwenye jukwaa lao hawana hamu naye.huyo ndio kimweri,hao wengine hao mbwembwe tu labda kidogo EMT:becky:
ni mtizamo wangu tu.
:busu:busu:busu
If Kiranga's English is anything impressive at JF, it could only be because JF standards are too low, not because Kiranga is that impressive in the high command of this strange tongue.
Thank you twende kazi , you are far too kind.
You took my book, took'ntyou?
Ain't that impressive too folks?
Walimu nawashukuru kila mwaka, jana nimetoka kumpa big up Mama Bgoya mwalimu wangu wa kiingereza, ambaye kama mnaona najua chochote katika hii lugha, huyu mama alichangia.
She had to be good, she owned a publishing house and had access to a vast amount of material, and the history to go with it.
I benefited from the riches of "El Dorado".
I shall remain ever grateful.
Duuuh!Mpaka raha.Jamaa akirudi na akaweza kujibu kwa sentensi mbili tu za kimombo.Nipewe ban ya siku tatu.Natamani ungekuwa mwalimu wangu.