Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Mhurumie tu mkuu maana utafanyaje sasa mtu anajiamini na pesa utasema yeye hajaumbwa na mwili wa nyama ni jini.
Najiamini sababu nimeenda jando. Nyie vijana wa mjini mkiambia ukweli unaanza kulia lia. Tafuta mwanamke yeyote ambae mme wake anaetoa pesa ya kweli mtongoze utaona mziki wake🤣 yani wanawake hadi wanaloga kupata mwanaume anaehudumia unadhani anaweza kizembe akaamuacha mwanaume anaetoa huduma? Mnaachwa mnaotoa elfu 5. Unadhani mke wa GSM mzee unaweza kumng’oa kwa maneno matamu, unajidanganyaaa. Hata kama uwezo wako mdogo hudumia kwa uwezo ulionao na nakuahidi utachompa mkeo utapata mara 10 zaidi ya hio, shida yetu ni uchyoo
 
Kunguru mwoga hukimbiza mbawa zake

Vijana wenyewe hawa ambao kutwa wana-google namna bora ya kumridhisha Mwanamke mtu mzima

Uzuri wake nilishatoa Tangazo Kwa Vijana, atayeniibia Bibi yenu lazima nimshushe mshipa 😜

Mke anauma hata kama amezeeka 🙌
Mkuu una umri gani?
 
Huyu mwanamke nimeoa tu miaka 7 ila nipo nae
Bado mbichi kwenye ndoa boss. Miaka 7 wewe ni mpya bado.
huu mwaka wa 15! Binadamu ni binadamu tu ndugu, ila wajibu wangu nimetimiza.
Sentensi inaonyesha umefahamu haupo in control. Imejaa woga.
Hivi ndivo nilivooona mama zangu wameishi na wamekufa na waume zao,
Mkeo sio mama yako. Mama yako anaye mfahamu ni baba yako sio wewe. Inaonekana bado hujaona mengi boss.
wewe endellea wako kumpa elfu 5. Mimi huyu navoendeoea kumpa ndivyo navyobarikiwa.
Hakuna sehemu nimeweka wazi ninachofanya kwa familia yangu. Wewe ndo umesema unamwaga pesa ili asikusaliti.
Akinisaliti ni yeye na Mungu wake
Sentensi imejaa woga. Umegundua pesa si uhakika wa kutokusalitiwa.
ila sitakua na dhambi ya kutesa mtoto wa mtu never! Sasa we endelea kumpa elfu 5 afu me niendelee kumpa nachompa tutaonana mbele ya safari, ila ushauri tu. HUDUMIA MKEO na nishasema wanawake kutoka nje ya ndoa ni mambo mawili tu, hupigi mashine humhudumii, hao wanawake mnaowaona wanatoka na vijana sijui wa carwash jibu unalo mzeee hupigi mashine. Tukutane kwenye kahawa mazeee
Una mengi ya kujifunza, usiwe mjuaji sana boss.
 
Najiamini sababu nimeenda jando.
Umeenda jando ya kizazi kipi? Wazee wa mila la kabila lako ni wa karne zipi? Mkeo kapita unyago? Au Jando yako inatosha asiingiwe na hamu ya kubadili ladha?
Nyie vijana wa mjini mkiambia ukweli unaanza kulia lia.
Acha assumption boss.
Tafuta mwanamke yeyote ambae mme wake anaetoa pesa ya kweli mtongoze utaona mziki wake🤣
Una mengi ya kujifunza.
yani wanawake hadi wanaloga kupata mwanaume anaehudumia unadhani anaweza kizembe akaamuacha mwanaume anaetoa huduma? Mnaachwa mnaotoa elfu 5. Unadhani mke wa GSM mzee unaweza kumng’oa kwa maneno matamu, unajidanganyaaa. Hata kama uwezo wako mdogo hudumia kwa uwezo ulionao na nakuahidi utachompa mkeo utapata mara 10 zaidi ya hio, shida yetu ni uchyoo
Una mengi ya kujiunza.
 
Bado mbichi kwenye ndoa boss. Miaka 7 wewe ni mpya bado.

Sentensi inaonyesha umefahamu haupo in control. Imejaa woga.

Mkeo sio mama yako. Mama yako anaye mfahamu ni baba yako sio wewe. Inaonekana bado hujaona mengi boss.

Hakuna sehemu nimeweka wazi ninachofanya kwa familia yangu. Wewe ndo umesema unamwaga pesa ili asikusaliti.

Sentensi imejaa woga. Umegundua pesa si uhakika wa kutokusalitiwa.

Una mengi ya kujifunza, usiwe mjuaji sana boss.
Ila we mwanaume kweli mwenzetu? Unaumia mimi kusema nampa hela mke wangu! Nampa sababu me ndo baba wa familia. Sio ili asinisailiti. Mpe na wewe kwa uwezo wako mbona ni baraka tu. Nikwambie siri moja mzee, hawa wanawake ni kama Mungu kawapendelea, kadri unavompa na ndo ivyo milango yako inafunguka, waangaalie wanawake wote ambao wanatunzwa na waume zao, ukiwacheki majamaa wote wako vizuri Mungu anaona unavojitoa pia na yeye anakubariki, mbona nimeongea vizuri mzee, mbona povu?
 
Leteni ushahidi kama Kato.mbewa kweli tujue. Ukute anamsingizia dada wa watu..huyu Kamwe ndo ana matatizo sio bure. Ndoa ya pili sijui ya tatu alizwe yeye tu..hapana nakataa.
Kama katombewa kweli basi jamaa ni mgonjwa kwenye mambo flani.
Kwanza atuambie yule rafiki yake alikuwa anabubujikwa machozi ya nini siku ile ya harusi.
Duuuh katombewa lini kuna video na picha za uchafu za mkewe zimevijishwa?
 
Umeenda jando ya kizazi kipi? Wazee wa mila la kabila lako ni wa karne zipi? Mkeo kapita unyago? Au Jando yako inatosha asiingiwe na hamu ya kubadili ladha?

Acha assumption boss.

Una mengi ya kujifunza.

Una mengi ya kujiunza.
Wanawake sio kama wanaume we jaamaa 🤣🤣 mwanamke kama unamkaza vizuri hamna ladha nyingine atayoikimbilia. Siri hii niwape, mwanamke anaehudumiwa vizuri hawezi kukuacha kwajili ya mwanaume mwingine hata apite mbele yako kijana mwenye six pack, mama zetu walikuwa wanachwa kijijini miezi 6 na wanajitunza. Siri ya mwanamke kutoka nje ya ndoa ni mbili tu, matunzo na mashine, mtabishana na mimi hapa kufurahisha nafsi zenu ila wote mnajua hili. Sasa fanya practical uone ndoa ilivo tamu, hamna mwanamke ataacha mwanaume anaemhudumia, niamini mimi, mimi ni mmakua, jando tumeenda 98 mkuu. Me sio mwenzako we jamaa
 
Aaaargh watu wana maana? Hamna kitu. Dogo anashindwa vitu vidogo tu watu hata ndoa haijafika mwaka tayari... Dogo anashinda analia tu wana wana mbembeleza. Katoa talaka 3 kaona hazitoshi

Tulimwambia dogo kwanza ajaribu kukaza misuli awe sawa.na kisha aoe kilmya kimyA tu mwanamke asiwe wa mjini amweke ndani. Akawa mbishi.

Wahuni siyo watu wazuri asikudanganye mtu.
Huyu binti namfahamu sana mpaka kiundugu, harusini nilikuwepo pia kwakuwa ni ndugu yangu...ila Sheikh alishaongea nao wote wawili pale Kaloleni-pangani kwa Mzee Tojo

Ni binti anayejivunia kuwa na Ucle tajiri sana na ana0enda maisha makubwa kuliko Dini ya Mwenyezi Mungu, lakini yote kwa yote Allah ampatie Shufwaah Ally, yote yatakaa sawa

InshaAlllah
 
Usijiamini kupita kiasi. Mkeo kutokukusaliti hakutokani tu na wewe, % kubwa ni yeye. Anajidhibiti. Wewe na pesa zako huwezi kuzuia tamaa zake, Pengine kuna nyakati huwa anaiota kabisa ya mtu mwingine ila anadhibiti kutimiza hilo tukio hivyo halitokei.

wapo masikini wengi tu wenye wake wanaojidhibiti, wanaachiwa elfu tano na wanadhibiti tamaa zao wanaposhawishiwa kupewa elfu 10. Mwanamke akiamua kubadili ladha hakosi sababu ya kuhalalisha kutimiza haja ya tamaa yake.

Unaweza mpa mkeo range yenye full tank kila wiki na M1 kila wiki na bado akaingiliwa na mtu aliyemsaidia kugeuza gari sehemu korofi.

Wanawake nyakati fulani nao huingiwa na tamaa za kubadili ladha, kutokuiendekeza hiyo tamaa ndo pona ya ndoa zetu na si uwezo wako wewe kama mwanaume pekee unaozuia hilo. Usijidanganye.
Huyo bado ni mgeni na wanawake, muache aendelee kuamini analoamini.
 
Kuna uongo niliosema? Sijajitapa, nimeenda jando mimi haya mambo nimefunzwa na wazeee wetu kabiss , baba yangu alikua dereva tu ila mama yangu aliishi maisha mazuri tu sana sijawahi kumuoana akilalamika, wameishi kijijini ila mama alikua na ngombe mbuzi kuku hakosi chakula mazee, ana wadada wa kazi. Anauza maziwa hakosi 10,000 kwa siku na hio ni zamani hela hio ilikua nyingi balaa, kifo ndo kimewatenganisha na mzee aliapply formula hizi hizi, yani adi anazeeka pensheni yake anaenda kuchukua maza benki. Natamani wazee wetu waseme na nyie vijana namna walivozeeka na wake zao.shida wazeee mkiambiwa ukweli mnakuja juu. TUNZA MKEO! Halafu me so bwana mdogo nimechelewa tu kuoa. Nimeoa nina 34 ivi niiite bro kaka, tulichelewa kuoa sababu ya ujinga wa kuogopa wanawake na kujazwa ujinga mitaani
Ukute hata hela mboga hujaacha hiome
 
Umeenda jando ya kizazi kipi? Wazee wa mila la kabila lako ni wa karne zipi? Mkeo kapita unyago? Au Jando yako inatosha asiingiwe na hamu ya kubadili ladha?

Acha assumption boss.

Una mengi ya kujifunza.

Una mengi ya kujiunza.
Jamaa anatumia pesa kumvutia mwanamke Diku zikiondoka
 
Hizi Pressure za Social medias, ukioa Mke mcharuko halafu mkali, ni jambo la dakika 5 tu watu kukuibia

Labda asiwe mtu wa tamaa, maana Kuna wahuni hawaoni shida kumlipia vacation akale maisha Brazil ama Dubai 🙌
Mkuu nishaga sema hum wanaume tunatesrka Sana na hatunaga mtetez tenant Kama Hawa matajiri makalio yao kutuchapia tu ipo siku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom