Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Binafsi nimekuwa mwoga sana kuweka maisha yangu wazi, wengine tulibahatika kuoa wake warembo mno

Kitendo cha kumwanika tu, Vijana wa hovyo ama hata Wazee wasio na maadili wanaweza kufanya harakati kumpata

Nani asiyependa kuzeeka pamoja na rafiki yake wa maisha 🤗
Mzee acha uwoga
 
Aaaargh watu wana maana? Hamna kitu. Dogo anashindwa vitu vidogo tu watu hata ndoa haijafika mwaka tayari... Dogo anashinda analia tu wana wana mbembeleza. Katoa talaka 3 kaona hazitoshi

Tulimwambia dogo kwanza ajaribu kukaza misuli awe sawa.na kisha aoe kilmya kimyA tu mwanamke asiwe wa mjini amweke ndani. Akawa mbishi.

Wahuni siyo watu wazuri asikudanganye mtu.
Kuna wanaume tuna tabia ya kutaka wanawake wa watu maarufu au wakubwa. Cc angalia idadi ya waliopita na Jokate kuanzia Hasheem Thabeet, Mengi,JPM and Vunjabei. Ukishakuwa maarufu au una hela mkeo na ndoa yako fanya siri.
 
Kunguru mwoga hukimbiza mbawa zake

Vijana wenyewe hawa ambao kutwa wana-google namna bora ya kumridhisha Mwanamke mtu mzima

Uzuri wake nilishatoa Tangazo Kwa Vijana, atayeniibia Bibi yenu lazima nimshushe mshipa 😜

Mke anauma hata kama amezeeka 🙌
😀😀😀 nakubali mzee ulinzi mwingi
 
Unajua hata mtu akitaka kukupiga Pesa anaweza kuku-blackmail kupitia familia ambayo utakuwa umepost post huko mitandaoni

Atajua kuhusu watoto pamoja na Mke

Unashangaa wametekwa nyara huku ukitakiwa kutoa kibunda kuwakomboa

Ndiyo maana sisi Wazee hupendelea mahusiano ya gizani 👊
Kwa ujumla maisha ya siri ni mazuri ila wengi hawalioni hilo kama ni jambo la kuzingatia, unachosema ni ukweli mtupu.
 
AJACHAPIWA NI MOGOGORO TU MIDOGO,DEMU KAAMUA KURUDI KWAO

Ooooooh..... Hujui dogo hapigi kazi mke akawa na hamu....akabananishwa sehemu watu wakampaka futa. Dogo kagundua kaja juu mke kajibu kazi huwezi halafu unalalamika nini sasa. Dogo katoa talaka 3
 
Wajifunze kwa
1. mc pilipili
2. Nicki wa.2
3. Haji manara
4. Ali Kamwe

Manara ndo ameshazoea yeye anaolea wenzie tu. Huwa yeye anaweza kaa hadi miezi asiguse Mbunye. Mademu zake wanasema pia ana bad smell na hana mvuto kabisa. So wanakula pesa tu halafu mbunye wanapeleka kwa masela. Akigundua anatoa talaka.
 
Nahisi Vijana wanasumbulkwa na ulimbukeni tu wa maisha

Na ukiwa mtu wa mitandao sana, unakuta Kila kitu una-post

Ukigombana na Bae wako, tayari unapost, ukimfumania Bae wako unaenda kupost "Wanaume wote mbwa"

Kupitia hizi trends, mtu anaweza kujua maisha yako yote kiganjani mwake
Tatizo vijana wa siku izi hatuna nidhamu kila kitu tunakijua sisi na tunapenda kuiga maisha ya watu wa ulaya tunaacha kufuata mila na desturi zetu za ki Tanzania,

Mwanamke ni pambo la ndani ya nyumba ww unaenda kumuweka Istagram na Tiktok🙌
 
Wajifunze kwa
1. mc pilipili
2. Nicki wa.2
3. Haji manara
4. Ali Kamwe

Manara ndo ameshazoea yeye anaolea wenzie tu. Huwa yeye anaweza kaa hadi miezi asiguse Mbunye. Mademu zake wanasema pia ana bad smell na hana mvuto kabisa. So wanakula pesa tu halafu mbunye wanapeleka kwa masela. Akigundua anatoa talaka.
Huu umbea wote unatoa wapi mtoto wa kiume
 
Tatizo vijana wa siku izi hatuna nidhamu kila kitu tunakijua sisi na tunapenda kuiga maisha ya watu wa ulaya tunaacha kufuata mila na desturi zetu za ki Tanzania,

Mwanamke ni pambo la ndani ya nyumba ww unaenda kumuweka Istagram na Tiktok🙌
Hahaha.......vipi lakini upo tayari kufichwa Mjukuu

Ndiyo maisha yangu Babu yenu 😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom