Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Hata Kaisari alichapiwa.....

Wafaransa husema C'est la vie, Such is Life.​
Ni sahihi kabisa Mkuu

Tatizo tuna huo uwezo wa kustahimili maumivu ya kuchapiwa?

Kuna Vijana wakiamua kukuchorea picha jinsi huyo mpenzi/Mke wako alivyokuwa anaambiwa anyonye hizo Koni

Utajikuta umebeba bastola yako na kwenda kuua mtu
 
Binafsi nimekuwa mwoga sana kuweka maisha yangu wazi, wengine tulibahatika kuoa wake warembo mno

Kitendo cha kumwanika tu, Vijana wa hovyo ama hata Wazee wasio na maadili wanaweza kufanya harakati kumpata

Nani asiyependa kuzeeka pamoja na rafiki yake wa maisha 🤗
Binafsi sipendi hizo mbanga za kuwekana wazi kama bendera, n hatari ila wengi hawajui. Kwanini hawajifunzi kwa matajiri zao kina GSM, Hersi na wengineo?
 
Leteni ushahidi kama kweli tujue. Ukute anamsingizia dada wa watu..huyu Kamwe ndo ana matatizo sio bure. Ndoa ya pili sijui ya tatu alizwe yeye tu..hapana nakataa.
Kama katombewa kweli basi jamaa ni mgonjwa kwenye mambo flani.
Kwanza atuambie yule rafiki yake alikuwa anabubujikwa machozi ya nini siku ile ya harusi.
 
Binafsi sipendi hizo mbanga za kuwekana wazi kama bendera, n hatari ila wengi hawajui. Kwanini hawajifunzi kwa matajiri zao kina GSM, Hersi na wengineo?
Unajua hata mtu akitaka kukupiga Pesa anaweza kuku-blackmail kupitia familia ambayo utakuwa umepost post huko mitandaoni

Atajua kuhusu watoto pamoja na Mke

Unashangaa wametekwa nyara huku ukitakiwa kutoa kibunda kuwakomboa

Ndiyo maana sisi Wazee hupendelea mahusiano ya gizani 👊
 
Binafsi nimekuwa mwoga sana kuweka maisha yangu wazi, wengine tulibahatika kuoa wake warembo mno

Kitendo cha kumwanika tu, Vijana wa hovyo ama hata Wazee wasio na maadili wanaweza kufanya harakati kumpata

Nani asiyependa kuzeeka pamoja na rafiki yake wa maisha 🤗

Na ukiwa na akili sheikh wangu mke wako humfanyi matangazo. Unamweka ndani anatulia huko. Tatizo vijana miaka hii wanaishi sana kwenye mitandao inawa cost
 
Leteni ushahidi kama Kato.mbewa kweli tujue. Ukute anamsingizia dada wa watu..huyu Kamwe ndo ana matatizo sio bure. Ndoa ya pili sijui ya tatu alizwe yeye tu..hapana nakataa.
Kama katombewa kweli basi jamaa ni mgonjwa kwenye mambo flani.
Kwanza atuambie yule rafiki yake alikuwa anabubujikwa machozi ya nini siku ile ya harusi.

Kamwe nuts zimelegea...misuli imekufa.. nadhani umeelewa. Hamna kitu pale.ndo maana unakaona kako vile. So mimi simlaumu huyu dada maana kiukweli nami nlikuwa nammendea nimepata file lake. Kale kadogo ni mchuzi.
 
Ni sahihi kabisa Mkuu

Tatizo tuna huo uwezo wa kustahimili maumivu ya kuchapiwa?

Kuna Vijana wakiamua kukuchorea picha jinsi huyo mpenzi/Mke wako alivyokuwa anaambiwa anyonye hizo Koni

Utajikuta umebeba bastola yako na kwenda kuua mtu
Some things are better left untold...
 
Na ukiwa na akili sheikh wangu mke wako humfanyi matangazo. Unamweka ndani anatulia huko. Tatizo vijana miaka hii wanaishi sana kwenye mitandao inawa cost
Nahisi Vijana wanasumbuliwa na ulimbukeni tu wa maisha

Na ukiwa mtu wa mitandao sana, unakuta Kila kitu una-post

Ukigombana na Bae wako, tayari unapost, ukimfumania Bae wako unaenda kupost "Wanaume wote mbwa"

Kupitia hizi trends, mtu anaweza kujua maisha yako yote kiganjani mwake
 
Unaoa mwanamke yupo kwenye aina zote za social media
Kutwa kuchwa kuweka picha zake kwenye profile zake ujue anajiweka sokoni
Mafunzo yanayotolewa hapa kuhusu wanawake yazingatie sababu ni uzoefu na sio hisia
Dada kafanyaje mbona hamsemi linaloeleweka.? Huyo mwenzenu Kamwe ni mzima kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom