Me mtoto wa mjini weweee 🤣 sijaja dar juzi. Uwoya anawalipa mabaamedi tips na kidimbwi wamwambie lugumi anapokuepo ili aje 🤣🤣 nimeshuhudia kwa macho yangu. Jojo anajilengesha mpaka mahotelini. Sisi watu tunaokodisha magari tunajua siri nyingi za hao madada . Pesa nyingi wakilipwa dola 500 🤣🤣🤣 msiwadanganye watoto wakike waache kusoma waanze kujiuza wakiamini kuna pesa humo, hakuna!!! Ni ushetani tu na mwisho wake ni ukimwi hao wadafs wameokoka kweli na wamejitahidi kubadilisha maisha yao. Tusirudi nyuma kabisa kujifanya walitajirika ni udhalilishaji tu, Mungu kawasaidia wameonokana sasa wanafanya mambo halali. Ila msijifanye kwamba wamenufaika, hawajanufaika. Msiwaponze wanawake, wanaume wanaolipa million 3 kwajili ya mbunye hawapo! Waache mabinti wasome wajitafutie wakutane na watu wa maana waolewe wajenge maisha, kujiuza sio mtaji