Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Binafsi sipendi hizo mbanga za kuwekana wazi kama bendera, n hatari ila wengi hawajui. Kwanini hawajifunzi kwa matajiri zao kina GSM, Hersi na wengineo?
Mbona hao ulio wataja wake zao wanafahamika
Kuna wanaume tuna tabia ya kutaka wanawake wa watu maarufu au wakubwa. Cc angalia idadi ya waliopita na Jokate kuanzia Hasheem Thabeet, Mengi,JPM and Vunjabei. Ukishakuwa maarufu au una hela mkeo na ndoa yako fanya siri.
Ulikua unamchukia Sana jpm mkuu
 
Nina mpwa wangu kaoa pisi kali, wahuni wameshindwa kumtokea huyo demu, wanaishia kumuambia dogo kuwa hawana cha kumpa huyo demu kwa kuwa dogo ana visenti vya kuchezewa na huyo demu. Dogo kamfungulia mke wake duka la dawa na duka jingine la kuuza vinywaji baridi jumla na rejareja, wana ka usafiri, ka mzunguko cha visenti si haba. Sasa huyu mamsap wa ally ana mapungufu gani mpaka alimwe talaka tatu? Tatizo ni upelekaji wa moto au nini?
Huya Dem WA ndug y'all sio mkali Angekua mkali imoooooooo
 
Najiamini sababu nimeenda jando. Nyie vijana wa mjini mkiambia ukweli unaanza kulia lia. Tafuta mwanamke yeyote ambae mme wake anaetoa pesa ya kweli mtongoze utaona mziki wake🤣 yani wanawake hadi wanaloga kupata mwanaume anaehudumia unadhani anaweza kizembe akaamuacha mwanaume anaetoa huduma? Mnaachwa mnaotoa elfu 5. Unadhani mke wa GSM mzee unaweza kumng’oa kwa maneno matamu, unajidanganyaaa. Hata kama uwezo wako mdogo hudumia kwa uwezo ulionao na nakuahidi utachompa mkeo utapata mara 10 zaidi ya hio, shida yetu ni uchyoo
Bro nyamaza wake WA billgate, Jeff bezos? Zari wa diamond
 
Najiamini sababu nimeenda jando. Nyie vijana wa mjini mkiambia ukweli unaanza kulia lia. Tafuta mwanamke yeyote ambae mme wake anaetoa pesa ya kweli mtongoze utaona mziki wake🤣 yani wanawake hadi wanaloga kupata mwanaume anaehudumia unadhani anaweza kizembe akaamuacha mwanaume anaetoa huduma? Mnaachwa mnaotoa elfu 5. Unadhani mke wa GSM mzee unaweza kumng’oa kwa maneno matamu, unajidanganyaaa. Hata kama uwezo wako mdogo hudumia kwa uwezo ulionao na nakuahidi utachompa mkeo utapata mara 10 zaidi ya hio, shida yetu ni uchyoo
Mkuu weka namba za mkeo tumpime Kama amerizika nawe tajiri I'll uoneshwe hao viumbe ni watu gani
 
Bro nyamaza wake WA billgate, Jeff bezos? Zari wa diamond
Bill gate jeff bezos na diamond mbona mfano hauendani, hao wameachwa sababu wao ndo wamefanya umalaya bro, tena mbele za watu na watu wakaona na wakajua…. Wanawake wa leo sio kama mama zetu. Hoja yangu ni mwanamke kutoka nje ya ndoa sio kawaida, mara nyingi ni matunzo fedha au kitanda, hao uliowaaja wote wameacha wao mume sababu ya uzinzi wa waume zao. Ni wanawake wachache sana unaweza kuwadhalilisha mbele ya wanawake wenzao na wakabaki na wewe. Ila mwanaume ambae hatoi huduma wala matunzo kwa mke wake, hilo ni red flag asee. Ukitunza mwenzako na uwe mwamnifu mwanamke kukuacha au kutoka nje ni ndoto, labda kama umeoa kahaba
 
Mkuu weka namba za mkeo tumpime Kama amerizika nawe tajiri I'll uoneshwe hao viumbe ni watu gani
🤣🤣🤣🤣🤣 amejaribiwa hadi na mawaziri sembuse wewe kapuku🤣🤣🤣 tafuta duka la mdada sinza linaitwa Momoz we tumia kiswahili chote unachokijua akikubali leta message hapa ntakupa millioni asubuhi na mapema. Sijivuniii pesa, treat ur wife good bro! Acheni kutesa wake zenu kaka unavuna mikosi tu
 
Kuna wanaume tuna tabia ya kutaka wanawake wa watu maarufu au wakubwa. Cc angalia idadi ya waliopita na Jokate kuanzia Hasheem Thabeet, Mengi,JPM and Vunjabei. Ukishakuwa maarufu au una hela mkeo na ndoa yako fanya siri.
Kwenye ukweli tuseme ukweli jamani yule dada ndo anaowafuata wanaume sio yeye kufuatwa. Ukimfuatilia utaona kila mwanaume akimwona kwenye peak lazma atoke nae inaweza ikawa mambo ya kishirikina pia, yule ni kwamba ni hulka yake. Hashim alivopeak katoka nae, ali kiba, diamond hadi mkuu wa nchi aseee, na nimesoma nae loyola… hadi shule alikua ivo ivo, kumtumia kama mfano ni kama kusema wanaume wote tunapenda kuoa afu mfano ukatumika wa manara aliekubuhu hadi tumemchoka🤣
 
Nina kazi za kufanya broo siwezi acha kazi naenda kutongoza I'll unikubali MI mkali we umesema unamuamini nipe namba acha tabia ya maneno mengi bila vitendo Leta namba alafu usiniharibie nipe kwanzia miez tisa kushuka chini takuelekeza uje unifumanie. Kaka achana na hiki kichwa ni levo zingine kabisa huwa sinaga kazi ndogo
🤣🤣🤣🤣🤣 amejaribiwa hadi na mawaziri sembuse wewe kapuku🤣🤣🤣 tafuta duka la mdada sinza linaitwa Momoz we tumia kiswahili chote unachokijua akikubali leta message hapa ntakupa millioni asubuhi na mapema. Sijivuniii pesa, treat ur wife good bro! Acheni kutesa wake zenu kaka unavuna mikosi tu
 
Bill gate jeff bezos na diamond mbona mfano hauendani, hao wameachwa sababu wao ndo wamefanya umalaya bro, tena mbele za watu na watu wakaona na wakajua…. Wanawake wa leo sio kama mama zetu. Hoja yangu ni mwanamke kutoka nje ya ndoa sio kawaida, mara nyingi ni matunzo fedha au kitanda, hao uliowaaja wote wameacha wao mume sababu ya uzinzi wa waume zao. Ni wanawake wachache sana unaweza kuwadhalilisha mbele ya wanawake wenzao na wakabaki na wewe. Ila mwanaume ambae hatoi huduma wala matunzo kwa mke wake, hilo ni red flag asee. Ukitunza mwenzako na uwe mwamnifu mwanamke kukuacha au kutoka nje ni ndoto, labda kama umeoa kahaba
Bill Gates Ali fumaniwa?
 
Bill Gates Ali fumaniwa?
Bro unaishi wapi? Mke aligundua hili, sio tu kafumaniwa alikuwa anabaka watoto wadogo huko epstein island na jina lake liko kwenye listi. Mke Alivogundua akaomba talaka na akaomba mgao wake wa mali mapema maaana anajua listi ikiwekwa tu wazi anakuja kufilisiwa na kesi za mahakamani. Gates alivoona jau akampa chake na akafunga kabisa na kampuni ya gates foundation iko kwenye hatua ya mwisho ya kufunga vilago na mtoto akawekewa fedha kwenye trust wanasubiri muda wowote bomu kulipuka
 

Attachments

  • IMG_1439.jpeg
    IMG_1439.jpeg
    602.2 KB · Views: 14
Kwenye ukweli tuseme ukweli jamani yule dada ndo anaowafuata wanaume sio yeye kufuatwa. Ukimfuatilia utaona kila mwanaume akimwona kwenye peak lazma atoke nae inaweza ikawa mambo ya kishirikina pia, yule ni kwamba ni hulka yake. Hashim alivopeak katoka nae, ali kiba, diamond hadi mkuu wa nchi aseee, na nimesoma nae loyola… hadi shule alikua ivo ivo, kumtumia kama mfano ni kama kusema wanaume wote tunapenda kuoa afu mfano ukatumika wa manara aliekubuhu hadi tumemchoka🤣
Acha kumsema head girl wako sasa
 
Nina kazi za kufanya broo siwezi acha kazi naenda kutongoza I'll unikubali MI mkali we umesema unamuamini nipe namba acha tabia ya maneno mengi bila vitendo Leta namba alafu usiniharibie nipe kwanzia miez tisa kushuka chini takuelekeza uje unifumanie. Kaka achana na hiki kichwa ni levo zingine kabisa huwa sinaga kazi ndogo
Yani me nihangaike kumtoa mpare milima ya upareni kumbadilisha hadi awe wa mjini na shangingi juu nikupe namba kizembe, namwamini ndio na we uhangaike kama nilivohaingaika, kama humjui kwa kukutajia duka tu iyo ni ishara ya kwanza kwamba huwezi kumpata, mpare anashinda serena hyatt dubai mauritius. Nimesema
Mtafute nimekupa jina la duka, nimekaa pale, jinsi utavohangaika ndo itadhihirisha nachokwambia mwanamke ukimuinua hamna mwanaume atamngoa kizembe. Yani mpaka uje kumuona sijui umeenda yatch club ambapo kiingilio ni million 10 kwa mwaka. Yani jasho litakutoka. Ukimpata we ni mwanaume million nakupa asubuhi mapema ukishindwa ndo utaelewa navokuambia maneno matamu hayatongo’a mke wa gsm kutoka kwa tajiri maana utamwona wapi bro? Jina tu unahangaika utampata wapi unaomba namba🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom