Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

Aaaargh watu wana maana? Hamna kitu. Dogo anashindwa vitu vidogo tu watu hata ndoa haijafika mwaka tayari... Dogo anashinda analia tu wana wana mbembeleza. Katoa talaka 3 kaona hazitoshi

Tulimwambia dogo kwanza ajaribu kukaza misuli awe sawa.na kisha aoe kilmya kimyA tu mwanamke asiwe wa mjini amweke ndani. Akawa mbishi.

Wahuni siyo watu wazuri asikudanganye mtu.
Baaaasiiiii kunanini tenaaa kwishaaaa..!
 
Dunia hii malofa ni wengi sana, mimi maisha haya hakuna demu atakuja kuniumiza kichwa hata siku moja. Tena naongelea mademu wa aina zote, wapare, wamakonde, wa Guang zhu au Montreal hapa ni ngoma draw. Kwanza sina hizo emotions kabisa
 
Kama ulimkuta kashatumika unategemea wewe ukimuoa ndio atatulia

Your dick inside her isn't the first and won't be the last, especially kama hukumkuta bikra

La pili hiyu dogo Ally kwa mwonekano tu hakuna kitu
 
Kama ulimkuta kashatumika unategemea wewe ukimuoa ndio atatulia

Your dick inside her isn't the first and won't be the last, especially kama hukumkuta bikra

La pili hiyu dogo Ally kwa mwonekano tu hakuna kitu
Kaka hakuna binti alie tumika ni uwezo wako tu bwashee
 
Leteni ushahidi kama Kato.mbewa kweli tujue. Ukute anamsingizia dada wa watu..huyu Kamwe ndo ana matatizo sio bure. Ndoa ya pili sijui ya tatu alizwe yeye tu..hapana nakataa.
Kama katombewa kweli basi jamaa ni mgonjwa kwenye mambo flani.
Kwanza atuambie yule rafiki yake alikuwa anabubujikwa machozi ya nini siku ile ya harusi.
Yaani watu wamesha conclude hivyo, si unajua wabongo mahusiano yakivunjika kosa linakuwa la mwanamke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom