Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Mtafute mama cathe upate udhibitisho,
Lakini sidhani kama kuna ishu iliyo kuwa imepangwa, maana alikuomba mtoko , kama ungekubali angefanyaje hicho unachodhania.

Jitahidi sana usijue negative za mwenzako zitakuumiza sana na kuifikisha safari yenu mwisho bila kufika mwisho wenyewe.
Huwajui wanawake vizuri
 
Mleta mada moyo wako tyari unapiga alarm ya ukweli,nafsi yako inakupa matumaini.

Chagua kutibu ndoa kwa kukaa na mwenza atubu dhambi zake ama uibomoe ndoa hiyo yenye nyufa tayari kwa tindo ambayo mke wako ameishikilia huko mtaani imtindue na kutundua ndoa yao. Kwa ufupi tu analiwa siku nyingi, ujumbe huo walikua wanatafuta sehemu nyingine yenye usalama maana mkeo naona hataki kutumia sehemu moja kwa mida mrefu ili asizoeleke na kufahamika!!
 
Unategemea mama atamuangamiza mtoto wake mama lazima amfichie siri mtoto wake na kusema yupo nae akisema anataka kuongea nae kwa simu atamwambia labda kaenda dukani
Wee wengine wanaigiza sauti km muhusika, huu mchezo tuliwahi mchezea shem, niliigiza sauti ya dada, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikua na pisi ilikua iko makini sana na text. Huwezi kuta sms ktk simu yake, na kila wkt unaona anajichatisha na watu. Yuko fasta sana kwenye kufuta text. Halafu nilikua nimeshaset mipango ya kumuoa na tulikua tumeshaanza kuishi pamoja kama miezi mitano hivi.

Kuna siku sijui alijisahau nini, akaenda bafuni kaacha simu kitandani nikaperuzi nikakuta anajibebisha kwa x anamuomba game! Imagine, demu unataka kumuoa na mshaandaa mpaka kamati za harusi lkn anaomba game ya kupasha kiporo kwa x! Nilipiga chini mazima. Alichizika miksa vikao na maushauri ya wazee lkn sikuskiliza mtu, nilibaki na msimamo wangu ule ule!

Mpaka sasa mtu akisema KATAA NDOA simshangai!
Hata Mimi yalishanikuta hayohayo.Yaani mtu bado anawasiliana na maX zake Tena anakwambia kabisa sifuti contact zake,Mara Tena mawasiliano na mwanamke mwingine.Yaani Hadi pesa zinatumwa,ndani hakuna kitu hata akiba ya buku kumi!!!Hizi ndoa Hizi!!!
 
kama unataka kuhkikisha toa ruhusa then ikifika hyo siku akiondoka na ww anza safar kwenda kwa mkwe msipishane muda then ukimkuta sema umekuja na ww kumuona usipomkuta jua chama cha upinzan kinafanya mkutano wa hadhara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me naona kabisa ni mwanamke ambay Yuko kistareh zaid bro
1. iyo bajet wakat unaipitisha najua ulishirikian nae ko alikua anajua gharama zilizotumika then kabl ya hata masaa 12 hayajapita anatak out Tena
 
Dah pole kaka tunawaambia kataeni ndoa mnatuona hatuna akili haya mke wake alienda kutiwa huko and nothing you can do zaid ya kutoa MCHOZIIIIIIII
 
Hii kitu imeniuma sana nadhani kuliko hata mwenye huyo mke.

‘Kataa ndoa’ wakiona hii tumekwisha.
B7B178FE-DF0F-474B-9E61-FB246C4E3C73.jpeg
 
Baada ya kusoma kwa kina na kujiridhisha pasipo na Shaka Tume imegundua yafuatayo.
1.Baba D kumruhusu Mama D kuenda ufukweni (beach) peke yake! KOSA NAMBA MOJA,
2.Mama D kuhofia "usalama " na kuuliza mahali panaitwaje, RED FLAG
3.Kuhusu safari ya Mama D kwa mama yake je mama anaumwa? Kuna jambo lipi la kufanya safari ghafla?
Hivyo basi zoezi la uchunguzi wa kina ufanyike na ni wakati wa Baba D kuonyesha mamlaka yake Kama Mume halali wa mama D.
 
Back
Top Bottom