Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Kiufupi ww hujasoma quba na usitake kujifananisha na wahitimi wa quba kinachokusumbua ww ni wivu wa kijinga na nisikufiche kama mkeo analiwa basi analiwa hapo hapo karibu hawezi mwenda mbali. Na hakuna mwanamke anaekosea txt hata siku moja kaamua uione uingie wivu basi na umebungi sana kumwambia ww huna msamaha yakikukuta tena umevunja ndoa. Na mkeo naaliwa kama kawaida usijipe moyo na comment za watu
 
1. Maisha ya ndoa ni magumu sana na inabidi uwe na moyo wa chuma kuyaishi
2. Hiyo sms ni alert nzuri sana na wala haijaja kibahati mbaya. Ni wazi kuwa mkeo anachepuka

Sasa amua yafuatayo

1. Kama huwezi kuishi bila yeye mkataze na jifanye unajua ishu zake zoote na hutaki yatokee tena na umwambie kuwa unamfatatilia kwa kila kitu anacho fanya na ikiwezekana pambana sana upate hata namba ya simu ya huyo jamaa yake.

2. Kama unaweza achana nae tu japo sishauri sanaa kuachana nae coz hata huyo mwengine utakae kuwa nae hawezi kuwa mkamilifu pia hata wewe mwenyewe una madhambi yako mengi tu ambayo mkeo hayajui. KIKUBWA TUISHI NAO KWA AKILI. Pole sn bro nakuelewa sana
 
MREJESHO

Nimesoma comment zote nashukuru mmenipa mwangaza wa nini cha kufanya. Mimi nilichofanya niliamkia kazini kama kawaida, but kabla sijaenda nikampa pesa ya nauli na hela ya 'sukari' ya Mama, akaniomba atumie simu yangu kumpigia boda kwani muda wake wa maongezi umeisha, niliyasikia maongezi na muda aliompanga aje amchukue, nikategea huo muda ufike halafu nikaongeza nusu saa mbele. Kama unavyoona text ya kwanza niliuliza kwa kumtega kutaka kujua kama amefika nyumbani. Text hii ilichukua dakika 12 haijajibiwa nikapiga simu akapokea, nikamuuliza umeiona text yangu akajibu hapana naomba niiangalie, nikakata simu akajibu 'Ndio'. Nikamwambia nitakupigia simu nimsalimie Mama, akadelay kama dakika 7 hajajibu msg ikabidi nipige simu ambayo haikupokelewa. Nikamtext mpe simu Mama niongee nae sasahivi, akanijibu baada ya dakika5 'Mama ametoka sijamkuta', nikamwambia awashe data nimpigie whatsapp video call, akajibu baada ya dakika 8 'Mtandao unasumbua'[emoji1781], baada ya dakika1 akanitext tena nimewasha data, nikamwambia nipigie nimsalimie D, akanipigia hiyo video call; ila mazingira aliyoonekana siyajui ndio nikamuhoji hapo ndio nyumbani? Akajibu hapa ni kwa jirani nduguyao, nikamuuliza umeaga unaenda kwa Mama au kwa jirani, akasema Mama sijamkuta hivyo nikaja kusalimia majirani, nikamwambia rudi nyumbani na umpe simu Mama niongee naye, akasema sawa, nikauliza nikupe dakika ngapi? Akajibu kama 30 hivi[emoji25], nikasema usinitanie dakika 30 kutoka kwa jirani? Akajibu sijajua kama Mama nitamkuta ndio maana nimesema 30, nikakata simu. Baada ya dakika kama 7 akanipigia nikaongea na Mama......

** Ukijaribu kupiga hesabu ya Muda nilioanza kumtafuta hadi nafanikiwa kuongea na Mama ni zaidi ya dakika 40[emoji56], akili ya kufanya maamuzi magumu ya haraka ilinijia ila nikarudi nyuma kidogo kwa kuwa na mimi miezi kadhaa iliyopita alinifuma na maovu fulani tukakaa kitako tukayasuluhisha.....Meseji ya mwisho niliyomtumia ndio hiyo inayoonekana hapo kwenye attachment....View attachment 2585479
Dogo unajichoresha.Hayo mambo ya kifamilia ungeyamaliza kimya kimya tu
 
Kwa bahati mbaya nimechelewa kuona hii ishu yako, nilishakutana na kitu kama hiki, ki msingi ungetakiwa kudeal na ileile msg aliyoikosea sasa ungefanyaje?
Baada ya kurudi home ilitakiwa umkazie athibitishe pasi na shaka alikua anachat na huyo aliemtaja.
 
Kwa niaba ya wahitimu wote wa Cuba; nasemaje,..

Ukiona Manyoya...

(Wote tuitikie kwa pamoja)

...keshaliwaaaa!!!!
 
Nilikua na pisi ilikua iko makini sana na text. Huwezi kuta sms ktk simu yake, na kila wkt unaona anajichatisha na watu. Yuko fasta sana kwenye kufuta text. Halafu nilikua nimeshaset mipango ya kumuoa na tulikua tumeshaanza kuishi pamoja kama miezi mitano hivi.

Kuna siku sijui alijisahau nini, akaenda bafuni kaacha simu kitandani nikaperuzi nikakuta anajibebisha kwa x anamuomba game! Imagine, demu unataka kumuoa na mshaandaa mpaka kamati za harusi lkn anaomba game ya kupasha kiporo kwa x! Nilipiga chini mazima. Alichizika miksa vikao na maushauri ya wazee lkn sikuskiliza mtu, nilibaki na msimamo wangu ule ule!

Mpaka sasa mtu akisema KATAA NDOA simshangai!
How is she now??
 
Possibility ya Mke wa jamaa na Mama Catherine kusagana mbona hamjaiweka in place?..haiwezekani?.

All in all,Mke wa mwanetu anat🔷️mbwa nje..mimi ningeua mtu aisee..daah sijui kama nitaoa.
 
MREJESHO

Nimesoma comment zote nashukuru mmenipa mwangaza wa nini cha kufanya. Mimi nilichofanya niliamkia kazini kama kawaida, but kabla sijaenda nikampa pesa ya nauli na hela ya 'sukari' ya Mama, akaniomba atumie simu yangu kumpigia boda kwani muda wake wa maongezi umeisha, niliyasikia maongezi na muda aliompanga aje amchukue, nikategea huo muda ufike halafu nikaongeza nusu saa mbele. Kama unavyoona text ya kwanza niliuliza kwa kumtega kutaka kujua kama amefika nyumbani. Text hii ilichukua dakika 12 haijajibiwa nikapiga simu akapokea, nikamuuliza umeiona text yangu akajibu hapana naomba niiangalie, nikakata simu akajibu 'Ndio'. Nikamwambia nitakupigia simu nimsalimie Mama, akadelay kama dakika 7 hajajibu msg ikabidi nipige simu ambayo haikupokelewa. Nikamtext mpe simu Mama niongee nae sasahivi, akanijibu baada ya dakika5 'Mama ametoka sijamkuta', nikamwambia awashe data nimpigie whatsapp video call, akajibu baada ya dakika 8 'Mtandao unasumbua'[emoji1781], baada ya dakika1 akanitext tena nimewasha data, nikamwambia nipigie nimsalimie D, akanipigia hiyo video call; ila mazingira aliyoonekana siyajui ndio nikamuhoji hapo ndio nyumbani? Akajibu hapa ni kwa jirani nduguyao, nikamuuliza umeaga unaenda kwa Mama au kwa jirani, akasema Mama sijamkuta hivyo nikaja kusalimia majirani, nikamwambia rudi nyumbani na umpe simu Mama niongee naye, akasema sawa, nikauliza nikupe dakika ngapi? Akajibu kama 30 hivi[emoji25], nikasema usinitanie dakika 30 kutoka kwa jirani? Akajibu sijajua kama Mama nitamkuta ndio maana nimesema 30, nikakata simu. Baada ya dakika kama 7 akanipigia nikaongea na Mama......

** Ukijaribu kupiga hesabu ya Muda nilioanza kumtafuta hadi nafanikiwa kuongea na Mama ni zaidi ya dakika 40[emoji56], akili ya kufanya maamuzi magumu ya haraka ilinijia ila nikarudi nyuma kidogo kwa kuwa na mimi miezi kadhaa iliyopita alinifuma na maovu fulani tukakaa kitako tukayasuluhisha.....Meseji ya mwisho niliyomtumia ndio hiyo inayoonekana hapo kwenye attachment....View attachment 2585479
Bad move, umeharibu kila kitu
 
Nilikua na pisi ilikua iko makini sana na text. Huwezi kuta sms ktk simu yake, na kila wkt unaona anajichatisha na watu. Yuko fasta sana kwenye kufuta text. Halafu nilikua nimeshaset mipango ya kumuoa na tulikua tumeshaanza kuishi pamoja kama miezi mitano hivi.

Kuna siku sijui alijisahau nini, akaenda bafuni kaacha simu kitandani nikaperuzi nikakuta anajibebisha kwa x anamuomba game! Imagine, demu unataka kumuoa na mshaandaa mpaka kamati za harusi lkn anaomba game ya kupasha kiporo kwa x! Nilipiga chini mazima. Alichizika miksa vikao na maushauri ya wazee lkn sikuskiliza mtu, nilibaki na msimamo wangu ule ule!

Mpaka sasa mtu akisema KATAA NDOA simshangai!
Hali yake ya sasa iko je
 
Bad move, umeharibu kila kitu
Jana nilikuwa nna majukumu ya kazi ambayo ilikuwa ngumu kupata muda wa kumfatilia physically, but kama ataendelea nitajua tu, ipo siku atakaa kwenye mfumo
 
NSHAMWAMBIA WIFE SIKU NIKIKUTA KUNA DALILI YA KULIWA NDO ITAKUWA MWISHO WA UHAI WAKO.


Sinaga muda wa kumfatafata nyuma, Tukigombana kidgo anakulaga kipigo cha kufa mtu na hakuna jirani anaingiliaa mana ataunganishiwa kipigo na yeye sembuse ujinga huo.

ngeikuta mimi hiyo mesji kwanza ngechukua boda chapu home kuvaa bukta ya mazoezi na jezi juu arooo ngepiga manina wallahi,

angetaja vyote
YANI MWANAMKE ANATUMA MESEJI KWA MCHEPUKO HVYO HALAFU IKAIINGIA KWAKO NA UNAPOTEZEA KIRAHISI

MANEENAAH!!
 
We jamaa umekosea sana, yani umevuruga uchunguzi na ushahidi wa kujua ukweli mpaka sasa unabakia kwenye ku guess tu kwamba nikweli alikua na mpango wa kqnfo au la.
Hii ndio ilikua nafasi ya kujifanya zoba hujui mpango wowote halafu ukatoka nae nyuma nyuma ila usionekane au ungetumia mtu asiyemjua akatoka akazunguka nae kote mpaka ataporudi home.

Facts.
Kuna uwezekano baada ya wewe kuanza hizo command za video call na niongee na Mama basi aka move alipokuwepo fasta akaanza kufanya safar ya kweli kwenda kwao ili tu mpano wake usijulikane.

Sasa hapa huja solve tatizo ila unamfanya aongeze mbinu zaidi akipeleka mbususu [emoji23] sasahiv atatumia technique kubwa zaidi ambazo hutajua, wakat hapa alikua katumia mbinu za kawaida tu ambazo ungenasa
Haswaaaa, ameharibuu mchezoo huyuu jamaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom