Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Delta 1 this is alpha 1 reporting,female terrorist in sight requests for immediately back up
Alpha 1 this is Delta... you are allowed yo take a shot if you have a clear target. I repaet you rae clear to go; take a shot.
 
Mimi niliyehitimu masomo yangu Cuba,nasema Hivi hiyo ni chat inamuhusu mwanaume,yaani anaambiwa eneo liwe salama(kusiwe na wambea was kukupa ubuyu)ili ndoa ibaki salama.Kiufupi mkeo anaenda kuchakatwa.Ndo Mana Mimi huwa natuliaga tu na mwanaume mmoja maana najua Kuna siku ya 40.Sasa mkeo kalikanyaga hapo,ndo 40 yenyewe hiyo!!!SHUKURU MUNGU KAKUONYESHEA.
 
Jifanye hujaiona hiyo message... ila hapo ni wazi mkeo anaenda kusasambuliwa... inauma roho ila vumilia tu
ROHO inauma Sana,Hivi vile tu ukiona mumeo Ana kimchepuko nje ROHO inataka kutoka,akili zinakuruka.sembuse hiii ya live!!!!WANAWAKE TULIE NA MWANAUME MMOJA,hao wengine piga stoop.
 
Ila kuoa Mwanamke Malaya ni shida sana.Aibu naona mimi
Saaana kwa kweli.Uchi wa mkeo kila mtu aujue,hapana.Kwa kweli heri upate mwanamke mwenye mapungufu mengine utayarekebisha kuliko MALAYA
 
Bro kwa elimu yangu ya darasa la 4C shule ya msingi Mwanamboka... Mkeo anaenda kukojolewa... Halafu umesema for 2 years hujawah kumfumania au kumhisi..? 😅 She's very smart atakua alisomea Cuba namna ya kuishi kwa umakini...

Ila kuna kitu hakipo sawa, inaonekana mkeo hakueshimu hakuogopi anakudharau, inaonekana umempa nafasi ya kukuona wewe fala sana... Yaani hiyo msg ilitosha kabisa aogope awe na wasiwasi asitoke nje ya nyumba mwaka mzima...

Ila cha ajabu bado anakuomba ruhusa anaenda sehem unamkatalia anakupa sababu nyingine eti anaenda kwao kusalimia 😅😂... Mimi nitombewe tu dharau za wazi hivi ninamtoa mtu roho kimya kimya...

Anyways ndoa njema bro
NA HAKUNA DHARAU KUBWA KAMA YA MKE KWENDA KUTOMBWA NA WANAUME WENGINE.
 
Tibua formation tena.. usipofanya ivyo timu pinzani itashinda kwa kishindo
Atatibua hadi lini?
Dawa ni kumchana ukweli kuwa hana uaminifu na hamwamini tena, au ajipe kazi ya kumfuatilia aendako ajue moja kuwa ana mke au malaya yaishe
 
Back
Top Bottom