Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

Wahitimu wa Cuba naombeni msaada wenu tafadhali

MREJESHO

Nimesoma comment zote nashukuru mmenipa mwangaza wa nini cha kufanya. Mimi nilichofanya niliamkia kazini kama kawaida, but kabla sijaenda nikampa pesa ya nauli na hela ya 'sukari' ya Mama, akaniomba atumie simu yangu kumpigia boda kwani muda wake wa maongezi umeisha, niliyasikia maongezi na muda aliompanga aje amchukue, nikategea huo muda ufike halafu nikaongeza nusu saa mbele. Kama unavyoona text ya kwanza niliuliza kwa kumtega kutaka kujua kama amefika nyumbani. Text hii ilichukua dakika 12 haijajibiwa nikapiga simu akapokea, nikamuuliza umeiona text yangu akajibu hapana naomba niiangalie, nikakata simu akajibu 'Ndio'. Nikamwambia nitakupigia simu nimsalimie Mama, akadelay kama dakika 7 hajajibu msg ikabidi nipige simu ambayo haikupokelewa. Nikamtext mpe simu Mama niongee nae sasahivi, akanijibu baada ya dakika5 'Mama ametoka sijamkuta', nikamwambia awashe data nimpigie whatsapp video call, akajibu baada ya dakika 8 'Mtandao unasumbua'[emoji1781], baada ya dakika1 akanitext tena nimewasha data, nikamwambia nipigie nimsalimie D, akanipigia hiyo video call; ila mazingira aliyoonekana siyajui ndio nikamuhoji hapo ndio nyumbani? Akajibu hapa ni kwa jirani nduguyao, nikamuuliza umeaga unaenda kwa Mama au kwa jirani, akasema Mama sijamkuta hivyo nikaja kusalimia majirani, nikamwambia rudi nyumbani na umpe simu Mama niongee naye, akasema sawa, nikauliza nikupe dakika ngapi? Akajibu kama 30 hivi[emoji25], nikasema usinitanie dakika 30 kutoka kwa jirani? Akajibu sijajua kama Mama nitamkuta ndio maana nimesema 30, nikakata simu. Baada ya dakika kama 7 akanipigia nikaongea na Mama......

** Ukijaribu kupiga hesabu ya Muda nilioanza kumtafuta hadi nafanikiwa kuongea na Mama ni zaidi ya dakika 40[emoji56], akili ya kufanya maamuzi magumu ya haraka ilinijia ila nikarudi nyuma kidogo kwa kuwa na mimi miezi kadhaa iliyopita alinifuma na maovu fulani tukakaa kitako tukayasuluhisha.....Meseji ya mwisho niliyomtumia ndio hiyo inayoonekana hapo kwenye attachment....
20230412_173351.jpg
 
MREJESHO

Nimesoma comment zote nashukuru mmenipa mwangaza wa nini cha kufanya. Mimi nilichofanya niliamkia kazini kama kawaida, but kabla sijaenda nikampa pesa ya nauli na hela ya 'sukari' ya Mama, akaniomba atumie simu yangu kumpigia boda kwani muda wake wa maongezi umeisha, niliyasikia maongezi na muda aliompanga aje amchukue, nikategea huo muda ufike halafu nikaongeza nusu saa mbele. Kama unavyoona text ya kwanza niliuliza kwa kumtega kutaka kujua kama amefika nyumbani. Text hii ilichukua dakika 12 haijajibiwa nikapiga simu akapokea, nikamuuliza umeiona text yangu akajibu hapana naomba niiangalie, nikakata simu akajibu 'Ndio'. Nikamwambia nitakupigia simu nimsalimie Mama, akadelay kama dakika 7 hajajibu msg ikabidi nipige simu ambayo haikupokelewa. Nikamtext mpe simu Mama niongee nae sasahivi, akanijibu baada ya dakika5 'Mama ametoka sijamkuta', nikamwambia awashe data nimpigie whatsapp video call, akajibu baada ya dakika 8 'Mtandao unasumbua'[emoji1781], baada ya dakika1 akanitext tena nimewasha data, nikamwambia nipigie nimsalimie D, akanipigia hiyo video call; ila mazingira aliyoonekana siyajui ndio nikamuhoji hapo ndio nyumbani? Akajibu hapa ni kwa jirani nduguyao, nikamuuliza umeaga unaenda kwa Mama au kwa jirani, akasema Mama sijamkuta hivyo nikaja kusalimia majirani, nikamwambia rudi nyumbani na umpe simu Mama niongee naye, akasema sawa, nikauliza nikupe dakika ngapi? Akajibu kama 30 hivi[emoji25], nikasema usinitanie dakika 30 kutoka kwa jirani? Akajibu sijajua kama Mama nitamkuta ndio maana nimesema 30, nikakata simu. Baada ya dakika kama 7 akanipigia nikaongea na Mama......

** Ukijaribu kupiga hesabu ya Muda nilioanza kumtafuta hadi nafanikiwa kuongea na Mama ni zaidi ya dakika 40[emoji56], akili ya kufanya maamuzi magumu ya haraka ilinijia ila nikarudi nyuma kidogo kwa kuwa na mimi miezi kadhaa iliyopita alinifuma na maovu fulani tukakaa kitako tukayasuluhisha.....Meseji ya mwisho niliyomtumia ndio hiyo inayoonekana hapo kwenye attachment....View attachment 2585479
Doooooh!
 
MREJESHO

Nimesoma comment zote nashukuru mmenipa mwangaza wa nini cha kufanya. Mimi nilichofanya niliamkia kazini kama kawaida, but kabla sijaenda nikampa pesa ya nauli na hela ya 'sukari' ya Mama, akaniomba atumie simu yangu kumpigia boda kwani muda wake wa maongezi umeisha, niliyasikia maongezi na muda aliompanga aje amchukue, nikategea huo muda ufike halafu nikaongeza nusu saa mbele. Kama unavyoona text ya kwanza niliuliza kwa kumtega kutaka kujua kama amefika nyumbani. Text hii ilichukua dakika 12 haijajibiwa nikapiga simu akapokea, nikamuuliza umeiona text yangu akajibu hapana naomba niiangalie, nikakata simu akajibu 'Ndio'. Nikamwambia nitakupigia simu nimsalimie Mama, akadelay kama dakika 7 hajajibu msg ikabidi nipige simu ambayo haikupokelewa. Nikamtext mpe simu Mama niongee nae sasahivi, akanijibu baada ya dakika5 'Mama ametoka sijamkuta', nikamwambia awashe data nimpigie whatsapp video call, akajibu baada ya dakika 8 'Mtandao unasumbua'[emoji1781], baada ya dakika1 akanitext tena nimewasha data, nikamwambia nipigie nimsalimie D, akanipigia hiyo video call; ila mazingira aliyoonekana siyajui ndio nikamuhoji hapo ndio nyumbani? Akajibu hapa ni kwa jirani nduguyao, nikamuuliza umeaga unaenda kwa Mama au kwa jirani, akasema Mama sijamkuta hivyo nikaja kusalimia majirani, nikamwambia rudi nyumbani na umpe simu Mama niongee naye, akasema sawa, nikauliza nikupe dakika ngapi? Akajibu kama 30 hivi[emoji25], nikasema usinitanie dakika 30 kutoka kwa jirani? Akajibu sijajua kama Mama nitamkuta ndio maana nimesema 30, nikakata simu. Baada ya dakika kama 7 akanipigia nikaongea na Mama......

** Ukijaribu kupiga hesabu ya Muda nilioanza kumtafuta hadi nafanikiwa kuongea na Mama ni zaidi ya dakika 40[emoji56], akili ya kufanya maamuzi magumu ya haraka ilinijia ila nikarudi nyuma kidogo kwa kuwa na mimi miezi kadhaa iliyopita alinifuma na maovu fulani tukakaa kitako tukayasuluhisha.....Meseji ya mwisho niliyomtumia ndio hiyo inayoonekana hapo kwenye attachment....View attachment 2585479

Aiseh[emoji15][emoji15]
 
Mama hayupo kaenda salimia majirani[emoji848][emoji848]na hajakwambia kama mama hajamkuta[emoji23]wooiii
 
MREJESHO

Nimesoma comment zote nashukuru mmenipa mwangaza wa nini cha kufanya. Mimi nilichofanya niliamkia kazini kama kawaida, but kabla sijaenda nikampa pesa ya nauli na hela ya 'sukari' ya Mama, akaniomba atumie simu yangu kumpigia boda kwani muda wake wa maongezi umeisha, niliyasikia maongezi na muda aliompanga aje amchukue, nikategea huo muda ufike halafu nikaongeza nusu saa mbele. Kama unavyoona text ya kwanza niliuliza kwa kumtega kutaka kujua kama amefika nyumbani. Text hii ilichukua dakika 12 haijajibiwa nikapiga simu akapokea, nikamuuliza umeiona text yangu akajibu hapana naomba niiangalie, nikakata simu akajibu 'Ndio'. Nikamwambia nitakupigia simu nimsalimie Mama, akadelay kama dakika 7 hajajibu msg ikabidi nipige simu ambayo haikupokelewa. Nikamtext mpe simu Mama niongee nae sasahivi, akanijibu baada ya dakika5 'Mama ametoka sijamkuta', nikamwambia awashe data nimpigie whatsapp video call, akajibu baada ya dakika 8 'Mtandao unasumbua'[emoji1781], baada ya dakika1 akanitext tena nimewasha data, nikamwambia nipigie nimsalimie D, akanipigia hiyo video call; ila mazingira aliyoonekana siyajui ndio nikamuhoji hapo ndio nyumbani? Akajibu hapa ni kwa jirani nduguyao, nikamuuliza umeaga unaenda kwa Mama au kwa jirani, akasema Mama sijamkuta hivyo nikaja kusalimia majirani, nikamwambia rudi nyumbani na umpe simu Mama niongee naye, akasema sawa, nikauliza nikupe dakika ngapi? Akajibu kama 30 hivi[emoji25], nikasema usinitanie dakika 30 kutoka kwa jirani? Akajibu sijajua kama Mama nitamkuta ndio maana nimesema 30, nikakata simu. Baada ya dakika kama 7 akanipigia nikaongea na Mama......

** Ukijaribu kupiga hesabu ya Muda nilioanza kumtafuta hadi nafanikiwa kuongea na Mama ni zaidi ya dakika 40[emoji56], akili ya kufanya maamuzi magumu ya haraka ilinijia ila nikarudi nyuma kidogo kwa kuwa na mimi miezi kadhaa iliyopita alinifuma na maovu fulani tukakaa kitako tukayasuluhisha.....Meseji ya mwisho niliyomtumia ndio hiyo inayoonekana hapo kwenye attachment....View attachment 2585479
We jamaa umekosea sana, yani umevuruga uchunguzi na ushahidi wa kujua ukweli mpaka sasa unabakia kwenye ku guess tu kwamba nikweli alikua na mpango wa kqnfo au la.
Hii ndio ilikua nafasi ya kujifanya zoba hujui mpango wowote halafu ukatoka nae nyuma nyuma ila usionekane au ungetumia mtu asiyemjua akatoka akazunguka nae kote mpaka ataporudi home.

Facts.
Kuna uwezekano baada ya wewe kuanza hizo command za video call na niongee na Mama basi aka move alipokuwepo fasta akaanza kufanya safar ya kweli kwenda kwao ili tu mpano wake usijulikane.

Sasa hapa huja solve tatizo ila unamfanya aongeze mbinu zaidi akipeleka mbususu 😂 sasahiv atatumia technique kubwa zaidi ambazo hutajua, wakat hapa alikua katumia mbinu za kawaida tu ambazo ungenasa
 
Mwanangu utakonda mpaka kichwa.

Mwambie aende huko anakotaka mruhusu, ila mwambie meseji yako naifuatilia.

Pole
 
kiufupi huyu wife wako analiwa muda tu hujui, kwa hiyo text na emoji inaonesha kabsa upendo wake kwa Jamaa (mama Katherine) Kama ungetaka kumkamata mwizi wako ungemruhusu aende unamfata nyuma uone mwisho wake
 
Bro kwa elimu yangu ya darasa la 4C shule ya msingi Mwanamboka... Mkeo anaenda kukojolewa... Halafu umesema for 2 years hujawah kumfumania au kumhisi..? [emoji28] She's very smart atakua alisomea Cuba namna ya kuishi kwa umakini...

Ila kuna kitu hakipo sawa, inaonekana mkeo hakueshimu hakuogopi anakudharau, inaonekana umempa nafasi ya kukuona wewe fala sana... Yaani hiyo msg ilitosha kabisa aogope awe na wasiwasi asitoke nje ya nyumba mwaka mzima...

Ila cha ajabu bado anakuomba ruhusa anaenda sehem unamkatalia anakupa sababu nyingine eti anaenda kwao kusalimia [emoji28][emoji23]... Mimi nitombewe tu dharau za wazi hivi ninamtoa mtu roho kimya kimya...

Anyways ndoa njema bro
HUU NI UKWELI MCHUNGU..jamaa aubebe huu.. we ndo umeongea sasa
 
Tayari huko kaumia.
Kwenye attachment hii ni convo ya mimi na mkewangu ambayo ilifanyika jana kupitia simu zetu. Story ni hivi, juzikati 'Jmosi' tuliandaa sherehe ya birthday ya mwaka mmoja ya mtoto wetu D, tulifanyia nyumbani huku tukialika majirani kadhaa. Maandalizi ya tukio zima roughly ilinicost kama laki2 na nusu hivi, nashukuru Mungu ilipendeza sana kama matarajio yetu yalivyokuwa (tulienjoy).

Kesho yake Jpili siku ya pasaka baada ya kutoka church nikaunganisha kwenye shughuli zangu za ujasiriamali, maana kama ni kusherehekea jana yake nilisherehekea vya kutosha kwa maana hadi saa7 usiku tulikuwa tunacheza mziki na kupigwa vyombo, hivyo sikuona sababu ya kuwa na mtoko tena siku inayofata badala yake niitumie hiyo siku kupiga kazi na kuupa unafuu mfuko baada ya kuvunja kibubu, Mama D aliniomba tutoke nikamwambia nimechoka na shughuli ya jana, acha leo nipige kazi, siku ikawa imepita.

Siku ya jana j3 nilikuwa kazini kwangu, nikawa na convo fupi ya sms na Mama D, baada ya kama nusu saa akatuma ujumbe kimakosa ambao ulikuwa unapaswa kwenda kwa mtu mwingine

'Mtandao mbaya sehem gani kutakua na usalama? Uko sipajui [emoji3059]Nijibu kwa sms plz'.

Sikumjibu chochote baada ya kusema amekosea huo ujumbe ulikuwa unaenda kwa 'Mama Catherine ', baada ya kama lisaa limoja nikarudi home kupata lunch, sikuhoji chochote kuhusu hiyo msg yake, akasema by saa 10 jioni ataondoka kuelekea Beach. Mimi nikamwambia usiende, akahoji kwanini wakati uliniruhusu? Nikamwambia nikweli nilikuruhusu ila nimeahirisha, maongezi yakaishia hapo japo alionekana kukasirika, leo asubuhi kipindi tunapata breakfast kaniomba ruhusa kesho 'Jtano' aende kumuona Mama yake, mimi nikamjibu sawa (Mama yake anaishi pembeni mwa mji, ni kama kilometa 15 kutoka tunapoishi).

Kifupi hiyo sms ya jana aliyoituma kwangu kimakosa imenifikirisha sana, na hii safari ya katikati ya wiki kwenda kumuona Mama imenifikirisha zaidi, nahisi kuna mnyamwezi anataka kunisaidia majukumu, naombeni ushauri wasomi wenzangu, huu mtego nautegua vipi ama ni hisia zangu tu ndio zimekuwa negative? Nimruhusu hiyo kesho aende, ama nimkatalie ili niharibu formation?

NB; kwa miaka miwili tuliyoishi pamoja sijawahi mfumania Mama D, wala sijawahi hisi kama ananisaliti, ila kwa hiyo meseji nimeanza kuhisi kituView attachment 2584561






MREJESHO;
Soma comment no 242
 
Ngumu kumeza , ila wadau😅🙌🙌 watu wanatoa comment kirahisi sana ukitaka kujua hii issue ni ngumu na inaumiza moyo ikukute wewe
Hakuna ishu ngumu hapo kama wewe ni me unaeijua vzr saikolojia ya wenzetu hawa.
 
Back
Top Bottom