Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,305
- 3,218
Vunja ndoa hiyo mapema mkuu ushahdi unajitosheleza huo.
Sema hako ka emoji 🥰 kakiwaki kinoma mzeeKwenye attachment hii ni convo ya mimi na mkewangu ambayo ilifanyika jana kupitia simu zetu. Story ni hivi, juzikati 'Jmosi' tuliandaa sherehe ya birthday ya mwaka mmoja ya mtoto wetu D, tulifanyia nyumbani huku tukialika majirani kadhaa. Maandalizi ya tukio zima roughly ilinicost kama laki2 na nusu hivi, nashukuru Mungu ilipendeza sana kama matarajio yetu yalivyokuwa (tulienjoy).
Kesho yake Jpili siku ya pasaka baada ya kutoka church nikaunganisha kwenye shughuli zangu za ujasiriamali, maana kama ni kusherehekea jana yake nilisherehekea vya kutosha kwa maana hadi saa7 usiku tulikuwa tunacheza mziki na kupigwa vyombo, hivyo sikuona sababu ya kuwa na mtoko tena siku inayofata badala yake niitumie hiyo siku kupiga kazi na kuupa unafuu mfuko baada ya kuvunja kibubu, Mama D aliniomba tutoke nikamwambia nimechoka na shughuli ya jana, acha leo nipige kazi, siku ikawa imepita.
Siku ya jana j3 nilikuwa kazini kwangu, nikawa na convo fupi ya sms na Mama D, baada ya kama nusu saa akatuma ujumbe kimakosa ambao ulikuwa unapaswa kwenda kwa mtu mwingine
'Mtandao mbaya sehem gani kutakua na usalama? Uko sipajui [emoji3059]Nijibu kwa sms plz'.
Sikumjibu chochote baada ya kusema amekosea huo ujumbe ulikuwa unaenda kwa 'Mama Catherine ', baada ya kama lisaa limoja nikarudi home kupata lunch, sikuhoji chochote kuhusu hiyo msg yake, akasema by saa 10 jioni ataondoka kuelekea Beach. Mimi nikamwambia usiende, akahoji kwanini wakati uliniruhusu? Nikamwambia nikweli nilikuruhusu ila nimeahirisha, maongezi yakaishia hapo japo alionekana kukasirika, leo asubuhi kipindi tunapata breakfast kaniomba ruhusa kesho 'Jtano' aende kumuona Mama yake, mimi nikamjibu sawa (Mama yake anaishi pembeni mwa mji, ni kama kilometa 15 kutoka tunapoishi).
Kifupi hiyo sms ya jana aliyoituma kwangu kimakosa imenifikirisha sana, na hii safari ya katikati ya wiki kwenda kumuona Mama imenifikirisha zaidi, nahisi kuna mnyamwezi anataka kunisaidia majukumu, naombeni ushauri wasomi wenzangu, huu mtego nautegua vipi ama ni hisia zangu tu ndio zimekuwa negative? Nimruhusu hiyo kesho aende, ama nimkatalie ili niharibu formation?
NB; kwa miaka miwili tuliyoishi pamoja sijawahi mfumania Mama D, wala sijawahi hisi kama ananisaliti, ila kwa hiyo meseji nimeanza kuhisi kituView attachment 2584561
DeDuh.
Sasa kama ndio tuliyosoma cuba tufanyaje? 😂😂[emoji23] Mtamuua mwenzenu ujue
Angalia emoji ya kwenye text yake kwenda kwa mama Katherine, kuna vikopa kopa kwa mama Katherine vya nn?Kwenye attachment hii ni convo ya mimi na mkewangu ambayo ilifanyika jana kupitia simu zetu. Story ni hivi, juzikati 'Jmosi' tuliandaa sherehe ya birthday ya mwaka mmoja ya mtoto wetu D, tulifanyia nyumbani huku tukialika majirani kadhaa. Maandalizi ya tukio zima roughly ilinicost kama laki2 na nusu hivi, nashukuru Mungu ilipendeza sana kama matarajio yetu yalivyokuwa (tulienjoy).
Kesho yake Jpili siku ya pasaka baada ya kutoka church nikaunganisha kwenye shughuli zangu za ujasiriamali, maana kama ni kusherehekea jana yake nilisherehekea vya kutosha kwa maana hadi saa7 usiku tulikuwa tunacheza mziki na kupigwa vyombo, hivyo sikuona sababu ya kuwa na mtoko tena siku inayofata badala yake niitumie hiyo siku kupiga kazi na kuupa unafuu mfuko baada ya kuvunja kibubu, Mama D aliniomba tutoke nikamwambia nimechoka na shughuli ya jana, acha leo nipige kazi, siku ikawa imepita.
Siku ya jana j3 nilikuwa kazini kwangu, nikawa na convo fupi ya sms na Mama D, baada ya kama nusu saa akatuma ujumbe kimakosa ambao ulikuwa unapaswa kwenda kwa mtu mwingine
'Mtandao mbaya sehem gani kutakua na usalama? Uko sipajui [emoji3059]Nijibu kwa sms plz'.
Sikumjibu chochote baada ya kusema amekosea huo ujumbe ulikuwa unaenda kwa 'Mama Catherine ', baada ya kama lisaa limoja nikarudi home kupata lunch, sikuhoji chochote kuhusu hiyo msg yake, akasema by saa 10 jioni ataondoka kuelekea Beach. Mimi nikamwambia usiende, akahoji kwanini wakati uliniruhusu? Nikamwambia nikweli nilikuruhusu ila nimeahirisha, maongezi yakaishia hapo japo alionekana kukasirika, leo asubuhi kipindi tunapata breakfast kaniomba ruhusa kesho 'Jtano' aende kumuona Mama yake, mimi nikamjibu sawa (Mama yake anaishi pembeni mwa mji, ni kama kilometa 15 kutoka tunapoishi).
Kifupi hiyo sms ya jana aliyoituma kwangu kimakosa imenifikirisha sana, na hii safari ya katikati ya wiki kwenda kumuona Mama imenifikirisha zaidi, nahisi kuna mnyamwezi anataka kunisaidia majukumu, naombeni ushauri wasomi wenzangu, huu mtego nautegua vipi ama ni hisia zangu tu ndio zimekuwa negative? Nimruhusu hiyo kesho aende, ama nimkatalie ili niharibu formation?
NB; kwa miaka miwili tuliyoishi pamoja sijawahi mfumania Mama D, wala sijawahi hisi kama ananisaliti, ila kwa hiyo meseji nimeanza kuhisi kituView attachment 2584561
Habari Demi 😊
Kwenye majibizano amemwambia amekosea kutuma na alikuwa anatuma kwa mama Kathetine na ameoona imekuwa delivered na read! screpa wewe kweli ni screpa. Mbona hili rahisi sana?Jifanye hujaiona hiyo message... ila hapo ni wazi mkeo anaenda kusasambuliwa... inauma roho ila vumilia tu
KATAA NDOAKATAA NDOA
KATAA UKIMWI
KATAA NDOA
KATAA WIZI
KATAA NDOA
Abort mission and return the squad to the military campDelta 1 this is alpha 1 reporting,female terrorist in sight requests for immediately back up
NAKAZIAKATAA NDOA
Unategemea mama atamuangamiza mtoto wake mama lazima amfichie siri mtoto wake na kusema yupo nae akisema anataka kuongea nae kwa simu atamwambia labda kaenda dukanimwache aende afu akishaenda wasiliana na mama yake ili ujue kama alifika au la....ila hapa kuna harufu ya dyudyu [emoji23]
Angalia emoji ya kwenye text yake kwenda kwa mama Katherine, kuna vikopa kopa kwa mama Katherine vya nn?
Pili mruhusu then mfuatilie kama una roho ngumu ila hapo kuna mashaka zaidi mzee! Kuliko usalama, kuwa makini mzee na pole
Amruhu lakini afuatilie. Akimkatalia atakuwa ameaharisha tu tatizo.Sasa unamruhusuje kwenda kwa mama yake tena???
Hawezi mwenzenu kufanya hivi amesharuhusu tayari mkewe atokeSasa kama ndio tuliyosoma cuba tufanyaje? [emoji23][emoji23]
Apangue hiyo safari kijanja, ndio kuishi nanyi kwa akili hivyo. Kama ana biashara amwambie anafuatilia pesa kwa mtu(iwe nono ili ashawishike) alafu amuombe amkaimu kwa muda kwa kisingizio cha kuwa kuna mtu atafuata bidhaa bila kukosa na amesisitiza sana apate hiyo huduma.
Akishalitimiza hilo mpango utavurugika, zipo mbinu nyingi za ki cuba kuliepuka hilo japo haitokuwa suluhisho la jumla kama kweli mama D anachepuka.
A man down,one man downalpha 1 we got your situation....abandon ship immediately😂