... mimi napita tu hapa!
![]()
Keine emana mpango nikyo balikachugira!
Ndugu yetu toka kwa Sara Palin-son of alaska, nini maoni yako juu ya ushuhuda huu wa Nyamayao?
Quote:
![]()
alienitoa usichana wangu alikuwa ni muhaya, akataka kununua jumla, wazazi waliniuliza kama kweli ndio nimechagua mchumba mpaka nimefikia hapo niliwajibu" ndio chaguo la moyo wangu", nikapewa go ahead! nili sarenda mwenyewe, wahaya hawaja2lia 100%, dunia ya leo hakuna u2livu but wahaya too much, alimpata mdada mwingine wakafunga ndoa haikupita miezi 3 ndoa ilivunjika, last year sept alimpata mdada mwingine mambo yakawa hivyo hivyo,yani kuishi na muhaya ina hitaji moyo haswa, kwa wadada nao ndio kama kaka zao! wanamajidai/wanajisikia/dharau/wanajiona juu wakati wote....
Mnaweza kuwa katika kundi la watu saba labda sita ni wahaya na wote mnakijua kiswahili vizuri kabisa au kiingereza, basi ghafla tu jamaa wanabadilisha channel na kuanza kutumia lugha yao (Mbwenu Waitu), hii tabia kwa kweli wengi wanaichukia sana. Inawezekana kabisa hawamsemi huyo asiyejua kihaya lakini kwa nini mbadilishe lugha wakati mnajua kuna mwenzenu hajui kihaya?
Kingine ni kwamba wanawake wanadai kwamba wanaume wa kihaya wanaweza kukuletea mhaya mwanamke nyumbani na kukwambia ni dada yake kumbe hawana undugu lakini pembeni jamaa anakula uroda. Haya ni kuyasikia sijayathibitisha lakini nimeshiriki sana katika majadiliano kama haya kuhusiana na wahaya makazini na vijiweni pia.
Ni kaka zangu lakini nawakubali kwa amri moja ngumu sana iliyokatazwa na mwenyezi mungu!
Hi,
jaman naombeni mnieleze sifa za wanaume wa kihaya.nasikia sikia tu sasa nimeona nije hapa nizipate kutoka kwa wadau mbalimbali.
Asante.