Miserere Mei Deus
Member
- Dec 20, 2012
- 14
- 2
Wanapenda misifa... we wasifie
Hi,
jaman naombeni mnieleze sifa za wanaume wa kihaya.nasikia sikia tu sasa nimeona nije hapa nizipate kutoka kwa wadau mbalimbali.
Asante.
.., ni kweli' hawana tofauti na wanyaK..., akina mwa.., MwaK...
wana magovi, huwa hawatahiri. wana masifaaa hata kama hawana hela. anaweza kununua gari ya milioni mia moja wakati bado anapanga nyumba, anakopa hela ili apande ndege kwenda bukoba na kutanua ajulikane ana hela akirudi anaanza kusota kurudisha mkopo. weusi kupita kiasi, kimombo chao ni cha lafudhi ya kihaya.
wana magovi, huwa hawatahiri. Wana masifaaa hata kama hawana hela. Anaweza kununua gari ya milioni mia moja wakati bado anapanga nyumba, anakopa hela ili apande ndege kwenda bukoba na kutanua ajulikane ana hela akirudi anaanza kusota kurudisha mkopo. Weusi kupita kiasi, kimombo chao ni cha lafudhi ya kihaya.