mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
i agree with you Son of Alaska!hapa ni vizuri kudiscuss mambo kama haya.Mimi natoka kwenye mikoa AMBAPO albino wanauliwa.Kwa hiyo tusipozungumza kasoro ya makabila,basi tutabaki hivi hivi
Unless utwambie una chuki binafsi na wahaya, sioni ni kwa nini unafanya generalization kwa wahaya wote wakati huyo the so called mpenzi wako ana nafsi yake na sio sahihi tabia yake yeye ikawa ndio tabia ya wahaya wote. TibaMpenzi wangu wa kwanza ni mhaya nimemdanganya nina mimba akaniambia nitoe then tujipange upya,,, sababu hayuko tayari kulea,,, je ana mapnz ya kweli au ndio mambo ya kihaya
.... mimi napita tu hapa!
![]()
Unatafuta attention kwa kuwataja wahaya, anzisha nyingine uwataje wachaga ili tuchangie.