Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

Tatizo watu mnapenda kukariri mno...sawa sawa na kusema kila mzungu,muhindi au muarabu ni mbaguzi wa rangi...mm mwanamke ukiniletea unajifanya kujua...akili itakukaa sawa...asilimia kubwa ya wanaume wa kihaya hawapendi kuendeshwa na wanawake ila wanajua kujali familia hasa kama umezaa nae...
 
Hapo kweli umenena mimi nimesoma nao sehemu mbali mbali tabia ndo hiyo hiyo ya kujiona wao bab'kubwa ninaye mwingine mhaya jilani yetu dah balaa yeye ni kuponda tu utasikia aaah utanunuaje baloon mala baloon si gari nunua Vogue yeye huku hana hata pikipiki au baiskeli basi anajiona balaa kama tajiri haishi kujivunia kwa Karamagi eti mjomba'ake duh hawa watu mmh!

Ila kuna wengine ni washikaji na machaliii tu yaani wako peace sana full kujichanganya.Kuna mmoja Nimesoma naye alikuwa tofauti sana that man na hizi wanaita tabia za kujiona
 
mii nmeolewa na muhaya wa Muleba, mbona sijaliona hilo, kutoka kwa mume wangu hadi wazazi wake, wananipenda mno na wananiheshimu saana. Siku nikienda kuwatembelea wananikaribisha vizuri saana, napewa kila kitu na heshima zote, lakini hua wananishangaa mimi kutoka Mbeya kuolewa na muhaya, hii inategemea na roho na utashi wake. Mfano wanaume kutoka Kyela hua wanajisikia saana, hebu angalia kijana wa kinyakyusa toka kyela au Tukuyu(Rungwe) wanajisika sana, mimi nilikutana nao kabla sijaolewa sikupenda kabisa nije ishi na mwanaume mnyakyusa toka Rungwe au Kyela
 
siwezi kuoa mhaya hata awe mzuri kama Cleopatra..Mimi ni mlevi wa mabint wa kisukuma no wavumilivu sana..hapa siongelei wasukuma wenye mchanganyiko wa damu maana hao ni feki nazungumzia pure blood..nampenda sana msukuma wangu..!!
 
tatizo walilo nao wanaume wa kihaya, hawapendi wanawake wasiojiamini na wale wanawake wanaowaona wao kama ATM ya CRDB, atakudharau saana tu. Na ndo group la wanawake wanaoshindwa kuolewa na wahaya na kuona wana ubaguzi

Mhaya akikupenda hata atakuoa tu na utapata mapenzi motomoto, kwani wanatunza sana familia. hivyo sio kwamba wahaya wanachunguzwa sana katika mapenzi bali wao ndio wanaowachunguza saana wanawake ambao wanatakua wapenzi wao.
Hata wadad wa kihaya hua wanaangalia wanaume wenye uwezo wa kutunza familia na uelewa wa kutosha na ndo maana hua wanaoana wenyewe kwa wenyewe
 
matatizo mlonayo.
1: misifaaa kibao
2: pamoja na iyo misifa ni wabahili kutoa mahari
ahaaaaa mhaya ukimwambia ka ng'ombe zinazotolewa kwetu siku iyo anabadilisha laini.
3: by nature tu hampendwi hasa ndoa, ila kama ni kwa fan tu, baadhi wako vizur.

5.mbinafsi by nature,kama unaishi naye nyumba moja ndo utamjua ubinafsi wake tena mpaka kwa wanawake/mke zao kama sio kabila lake.
 
Kwani wahaya kwa asili hawatahiri kuondoa govi? Naomba jibu pls japo nje ya mada kuu
Wengi tumetahiri ukubwani maana kutahiri bukoba ni suna ila kwa sasa watoto wetu tunawatahiri,ni kama makabila mengine yanayotahiri mpaka wanawake
nao sasa wanabadilika hawatahiri,ila hili la kutopendwa na wanawake nadhani ni faida maana linapunguza kero na michepuko japo
mimi wife wangu siyo muhaya na tunaishi vizuri.
 
Kubadilika itawachukua miaka mingi sana hiyo ni hulka ya kabila zima, inahitaji revolution ya generation kama mbili hivi, ni kilema cha mawazo.
Wewe dada mbona mwongo,wewe si umetahiri? unataka kuniambia
na watoto wako umewatahiri ee?
mabadiliko ni pande zote anayebadilika nayule anayefanya tathimini ya mabadiliko.kama anayefanya tathimini ameishaathiliwa kisaikolojia tusitegemee majibu chanya.
 
Ebojo, mgambile ebiswankala, Mama Koku nimepata ka-degree!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Watani wangu, it is true, mnajisikia hata kama ni kahaya kafagiaji barabarani, mimi nimekaa karibu na wahaya, their women are so beautiful interms of figures, I like them but not men. Men are too arrogant, they don't recognize other men who're not part of them, this is a great problem of wahaya. Kuhusu ka-ufundi, you know only one style 'katelelo', that is insufficient to make a woman enjoy sex, you need to go beyond of that. We don't have a dose which can make you behave like men from other tribes. Nyie endeleeni tu, lakini msilogwe mkagombea uraisi mtapata kura za nshomile tuuuuuupu hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Hapo penye red ndo tatizo kubwa la nchi yetu,na maendeleo tutaishia kuyasikia kwa watu,
maana CDM naona mnaiandama kwamba ni ukanda fulani hao nao ni wahaya?wanyakyusa nakumbuka enzi za tetesi za mwandosya kugombea uraisi aliandamwa kwa kabila lake,Nadhani ni tatizo la kisaikolojia la kuchukia wasomi.
sasanchi hii kweli tunategemea makabila yasiyojulikana yailetee maendeleo tuyatakayo?au tunaweka watu watembelee
dunia nzima ili kujifunza na kuona ambayo hawajawahi kuyaona,nyie mnaambulia kupigwa mabomu.
 
Wahaya tuko peace sana,Na ukimkuta mdada anawakataa wahaya jua she's a bitch,mwanamke aliyelelewa vyema hawezi kumponda mhaya coz wahaya katika maswala ya kujali na kuzipenda familia zao wako sawa,ni wahaya wachache mno wa kudata na nyumba ndogo na kuzitelekeza familia zao kama wafanyavyo wanaume wa mikoa mingine,binafsi sioni ubaya wa wahaya.
 
Wahaya tuko peace sana,Na ukimkuta mdada anawakataa wahaya jua she's a bitch,mwanamke aliyelelewa vyema hawezi kumponda mhaya coz wahaya katika maswala ya kujali na kuzipenda familia zao wako sawa,ni wahaya wachache mno wa kudata na nyumba ndogo na kuzitelekeza familia zao kama wafanyavyo wanaume wa mikoa mingine,binafsi sioni ubaya wa wahaya.

Kwa kuongezea sisi wahaya ni wachapakazi sana.hakuna ofisi itayoongozwa na mhaya itakuwa ovyo
 
Mimi nilisha wahi kukaa nyumba moja na mhaya akani-under rate kutokana na maisha yangu. Alianza vituko vya kutokufanya usafi hasa bafuni mara akisha oga akawa anaacha maji machafu. Siku moja niliamua mimi na familia yangu tuoge mapema na mtu wa mwisho aache bafu chafu ili nao waone kero tunayoipata. Nakumbuka alichofanya yule mwanaume ni kuchota maji machafu toka bafuni na kuja kumwagia ndani kwangu kupitia dirishani. Nilijisikia vibaya sana na nikakumbuka enzi za vurugu shuleni hata vinyesi ilikuwa ni silaha tosha. Nilichota maji ya choo nikamwagia kupitia dirishani kwenda chumbani kwake. Nikatangaza vita huku nje. Kesho yake alihama. Wana nyodo, dharau majigambo hata kwa wale ambao hawakusoma nao tabia yao ni hiyo.
Wewe kweli umetutangazia vita,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
ila mimi naishi na msukuma kwakweli suala la yeye kuoga akasukuma maji ni tatizo na nimesema mpaka nimechoka nimeamua kuacha na huyu tumwiteje japo sijawa na maamzi kama yako.
Mimi nilisha wahi kukaa nyumba moja na mhaya akani-under rate kutokana na maisha yangu. Alianza vituko vya kutokufanya usafi hasa bafuni mara akisha oga akawa anaacha maji machafu. Siku moja niliamua mimi na familia yangu tuoge mapema na mtu wa mwisho aache bafu chafu ili nao waone kero tunayoipata. Nakumbuka alichofanya yule mwanaume ni kuchota maji machafu toka bafuni na kuja kumwagia ndani kwangu kupitia dirishani. Nilijisikia vibaya sana na nikakumbuka enzi za vurugu shuleni hata vinyesi ilikuwa ni silaha tosha. Nilichota maji ya choo nikamwagia kupitia dirishani kwenda chumbani kwake. Nikatangaza vita huku nje. Kesho yake alihama. Wana nyodo, dharau majigambo hata kwa wale ambao hawakusoma nao tabia yao ni hiyo.
 
Mimi ni mhaya fika. Ni kweli kizazi cha kuanzia baba yako kwenda juu kilikuwa na tatizo moja kubwa: Superiority Complex. Wanyankole huko Uganda bado mpaka sasa wana tatizo la kujiona wako juu ya jamii nyingine hivyo jamii nyigi haziwapendi. na sisi wahaya tuliwahi kuwa kama hawa wenzetu wa Uganda. Kumbuka hapo zamani kidogo kijana wa kihaya ilikuwa sio rahisi kuoa makabila mengine kwa kisingizio kwamba ni "wanyamahanga"! Binafsi mimi harusi yangu ilisusiwa na ndugu zangu wengi eti nimeoa Songea! Hivyo basi wasichana wa makabila mengi wanalijua hili na ndio maana wengi wao wanakuwa na mashaka kutoka na kijana wa kihaya. Hata kama wewe binafsi unampenda but she is not certain about your family and relatives and that counts alot in a relationship. I dot not regret marrying outside my tribe and my wife is one of the most respected in laws in my family. Anyway kidogo kidogo the attitude is now changing for the better. Hang in there do not despair.
nashukuru mkuu kuongea ya moyoni ukiwa ni victim ulichokisema naamini ni FACT tupu bravo!!
 
Back
Top Bottom