Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

Wahaya tunachunguzwa sana katika mapenzi, why?

naamini wahvyo wapo na wengine cvyo,kikubwa msikariri na kuovergenerlis mambo kiasi hicho,wangapi wameolewa/wameoa?
 
Jamani ila ndugu zangu wahaya wanajisikia sana, Wengi hawaampi mwanamke nafasi kuchangia hata masuala ya mipango ya familia wenyewe wanajua kila kitu. Mimi mhaya lakini siwish kuolewa nao!
 
Actully next year ni visit pale bukoba town,then I will suggest something in this tittle,but now lets me attend meeting kwa mweshimiwa rais then I will come back,although my benz horn aifanyi kazi,itabidi nichukue hummer ya first born wangu yule niliyemzaa nilipokuwa masomoni russia:target:
 
Actully next year ni visit pale bukoba town,then I will suggest something in this tittle,but now lets me attend meeting kwa mweshimiwa rais then I will come back,although my benz horn aifanyi kazi,itabidi nichukue hummer ya first born wangu yule niliyemzaa nilipokuwa masomoni russia:target:
Aisee wewe Mr. Rwechungura unayeishi karibu na Prof. Muganyizi unanifurahisha sana. In fact heri yako wewe unayemiliki Hammer. Actually mimi juzijuzi nilikataa kupokea zawadi ya yule first born wangu aliyekuwa anasoma uingereza. Eti ananiletea zawadi ya BMW wakati anajua ninayo nyingine aliyoleta mdogo wake mwaka juzi!! Hence, nimekataa hiyo zawadi nikaamua nibaki na magari yangu matano hayo hayo hata kama ni machache.
 
Kaunga kwanini unandikie mate na wino upo?...........Kwanini uangalie na luninga yenye chenga wakati wahaya wamejaa kibao.........wajajribu na utapata laivu............lol

Ndio maana nimewa tuhumu kuwa mko somewhat arrogant kwa jinsi mkionekana kwa nje nje.
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana nimewa tuhumu kuwa mko somewhat arrogant kwa jinsi mkionekana kwa nje nje.

Kaunga nje nje inatoka wapi wakati ndani ambako ndiko kila kitu kipo hata hutaki kutujua.....tujue ndani khalafu mengine utajaza mwenyewe................................lol
 
Last edited by a moderator:
By Shori MN
bila shaka kuna tatzo coz hili kabila lnatuhumiwa sana.
 
nikwo kyoma nawe wakabono 'akabonomoo"

Shana kagitwale amjajalo au kagibunge balagula mpolampola..................., enye nimbona yashenzira shana agibanike kaeo....................

Hizi ni tabia ambazo pia sizipendi kwa wahaya yaan kubagua watu kwenye mawasiliano,unless other wise wapo poa...
 
me sijui ikoje nimetokea kupendwa sana na wahaya na hata nilie nae ss ni muhaya.sijui ni kwa nn.but sifa zinazotolewa hapa ni za kweli kabisa.bf wangu wa kwanza alikuwa muhaya.huyu sikumoja eti ananipa story eti unajua leo asubuhi kidogo niungue na chai ya moto sema tu kapeti langu la manyoya limeniokoa.yan nilicheka sana kumbe alitaka tu nijue kuwa ana kapeti la manyoya.mara sijui eti ndugu zake wengi wanafanya kazi ofisi ya rais...so what???
haya wa pili nae alikuwa muhaya kamugisha.huyu ndo misifa balaa.nilimshindwa kabisa.
huyu niliyenae sasa ndo kabisa yule muhaya na kilugha anaongea sana.yan ss ndo balaa.lkn ukweli pesa wanajua kutafuta na pia wanacare flan hivi me naipenda.mijisifa nimeshaizoea.sema ili uishi nao inatakiwa uwanyenyekee sana na usijifanye mjuaji.they lovely i think
 
NAULIZA,jamani,kwanini mimi kama muhaya,nitakapo kuwa na uhusiano wa mapenzi na mtanzania wa kabila tofauti na mimi,scrutiny kubwa dhidi yangu has to take place,kwani sisi male wa kihaya tunatatizo?akina dada wengi wapo tayari kutoka na kabila lolote lakini sio muhaya,is it that our malehood una walakin? i understand kuna certain stigma's attached to wahaya,lakini hello,for god's sake,hii ni karne mpya,and on top sisi ni generation mpya. sifurahi kusikia akina dada wakisema nitatoka na muhaya as a last resort.naombeni majibu ndugu zangu
Mabwenga wengi mmekuwa wajivuni sana, Tungeshukuru kama Idd Amin angiteka Kagera na mngekuwa waganda. Mna tabia zenu chafu na arrogance za ajabu
 
wana magovi, huwa hawatahiri. wana masifaaa hata kama hawana hela. anaweza kununua gari ya milioni mia moja wakati bado anapanga nyumba, anakopa hela ili apande ndege kwenda bukoba na kutanua ajulikane ana hela akirudi anaanza kusota kurudisha mkopo. weusi kupita kiasi, kimombo chao ni cha lafudhi ya kihaya.

Ndugu unauhakika na uliyoyaandika?mbona mi nawafahamu wahaya kibao weupe na wanaongea lugha vema tu?
 
Dah!Kuna mambo mengi yakuyapuuza kwenye jamii yetu!
"
Mojawapo ni hili!
 
Kuna ukweli kuhusu kujisikia kwa Wahaya. Kuna Mhaya mmoja aliniomba nimsimamie ndoa yake na nikakubali; baada ya miaka kama 2 hivi nilikuja kukutana na shemeji yangu yuko hovyo hovyo; nilipojaribu kumuuliza kulikoni alinambia mumewe kasema alikosea sana kumuoa mwanamke ambaye hajaenda shule.

Kilichoiumiza;
Wakati wanaoana wote walikuwa level moja kielimu - Diploma; Jamaa akajiendeleza hadi akapata Masters wakati mke aliendelea kuwa na hiyo Diploma; hadi ninapoongea hawaelewani; hawaongei pamoja; wanaishi maisha ya kufokeana yaani inanikera sana. Jamaa nikimwita aje tulijadili ananikwepa ..... Kweli wahaya (wanaume) nouma!
 
Kuna ukweli kuhusu kujisikia kwa Wahaya. Kuna Mhaya mmoja aliniomba nimsimamie ndoa yake na nikakubali; baada ya miaka kama 2 hivi nilikuja kukutana na shemeji yangu yuko hovyo hovyo; nilipojaribu kumuuliza kulikoni alinambia mumewe kasema alikosea sana kumuoa mwanamke ambaye hajaenda shule.

Kilichoiumiza;
Wakati wanaoana wote walikuwa level moja kielimu - Diploma; Jamaa akajiendeleza hadi akapata Masters wakati mke aliendelea kuwa na hiyo Diploma; hadi ninapoongea hawaelewani; hawaongei pamoja; wanaishi maisha ya kufokeana yaani inanikera sana. Jamaa nikimwita aje tulijadili ananikwepa ..... Kweli wahaya (wanaume) nouma!

Cwataki kabisa hawa watu,japokuwa sio wote bt wengi wao noma!
 
Back
Top Bottom