miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
haya wewe ndo wasema,ngoja niende barber shop
ukatekenywe tekenywe wewe nawe unamambo ndo maana upati mchumba
haya wewe ndo wasema,ngoja niende barber shop
ukatekenywe tekenywe wewe nawe unamambo ndo maana upati mchumba
yaan acha tu hasa ukifika muda wa kusafishwa masikio weweeeeeeeeee
Duh umenikumbusha kichwa kinawashwa wacha nikasuguliwe baadae
Kama hauna mkono wa birika basi utapewa Extreme service kwa muda mrefu na kuulizwa kama UNA-ENJOY?
We inabidi nkupitie twende wote, hayo maswali yatajibiwa hukohuko na wahusika
Kama unataka kuijua, nenda Barber shop wakati wanakaribia kufunga, then akuscrub uzuuuur, halaafu mpatie lift kama una kausafiri...mzee ila iwe mara moja moja alafu usiende nae kwako..hii ni sevisi gani mkuu!!? embu tueleweshe na sisi tukaifwate!!
Wenye hizi barber shop huwa wanafanya kusudi kwa kuwaweka warembo haswaa kwenye saloon zao.
Bila kusahau wanatoa ile huduma nyingine kama hawana akili vileee...( hapa nazungumzia % kubwa)
Kama unataka kuijua, nenda Barber shop wakati wanakaribia kufunga, then akuscrub uzuuuur, halaafu mpatie lift kama una kausafiri...mzee ila iwe mara moja moja alafu usiende nae kwako..
Hii ni moja ya starehe...karibu sana ntakuelekeza sehemu nzuri ya kupata huduma safi
Ni full mizoga wale madada na wanaboa mwanzo mwisho ndo maana mimi huwa sioshi au kuscrub nk. Nikishanyoa tu nalipa fasta natoka nduki huku nikisindikizwa na misonyo sauti ya kwanza yenye stereo kaliii....!
Mkuu kichwa kipi unataka kikasuguliwe, cha juu au cha chini?