Wadada wa barber shop...mh...

Wadada wa barber shop...mh...

Kwa wale ambao sio ma-raster (dread locks), nadhani mtakubaliana na mimi juu ya huduma tunayoifaidi ndani ya saloon za kiume hasa pale unapofika wakati wa ku-scrub, kuosha au hata wakati wa massage kwani hapa mshughulikaji huwa mdada mwenye mikono laiini.

Kiukweli hua naenjoy sana na nimekua addicted yani kila week lazima nkashughulikie kichwa changu kwenye barber shop ambayo inawadada wanaoijua kazi yao haswaa.

Kama hauna mkono wa birika basi utapewa Extreme service kwa muda mrefu na kuulizwa kama UNA-ENJOY?

Nashukuru sana kwa huduma zao, But tatizo lao ni moja tu...KUOMBA TIP, tip hua hutolewa kama aksante kama nikiridhika na huduma yako, but wao huwa ni kawaida kuomba na kukupa minjonjo wakati wa huduma mpaka unajiskia raaaaha, na kusahau matatizo kwa muda. HUU NI ULAGHAI...

Wenye hizi barber shop huwa wanafanya kusudi kwa kuwaweka warembo haswaa kwenye saloon zao.

Bila kusahau wanatoa ile huduma nyingine kama hawana akili vileee...( hapa nazungumzia % kubwa)

images
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-tunashawishika.html?highlight=massage+wadada
 
Wale wa pale Morocco madada wanakushika dudu bila ridhaa yako bana!
Lkn inafurahisha sana nikajivunga kama sikufurahishwa sababu nilikuwa na shemeji!
Nikarudi pekee yangu kesho yake ehehehehe
Mkuu...dah, umenifurahisha sana kwa hilo. Pale hakuna kwenda na mswitie, nenda peke yako ukaenjoy touch za totoz.
 
hapo mwanaume inabid uende umevaa zile boxer zinazobana vinjnevyo watakushangaa baada ya huduma unasmama mzee yuko upright
 
Barber shop sku izi zimekuwa vituo vya kuuzia kina dada haswa kinondoni...Unapewa huduma zote.

Kuna sehemu fulani ya massage unaulizwa mpk kuulizwa unataka na mbunye? ukivunga unafanyiwa mtu kachojoa vyote, hii ni haki kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom