Wadada wa barber shop...mh...

Wadada wa barber shop...mh...

ngoja na mie nianze kunyoa kwenye hizo barber shop.. niacheni na mambo ya kunyoana vijiweni na topaz
mnachanjana tu buree...njoo huku uone raha. but acha wallet home. njoo na budget kamili
 
Hakuna kitu nachukia kama kuoshwa au kufanyiwa scrub na hao wadada wa barber shop! Vinyozi huwa wananishangaa sana kwa msimamo wa kukataa nnaokuwa naonesha.
 
Hahahaha ndiyo sababu Ukifika wakati wa kuniscrub wanaenda nje, kumbe kwa sababu ya mkono wa birika? Doooh!!
 
Jamani mimi kuna saluni moja naenda basi wakati wa scrub dada anakufungua vifungo vya shati ana kuscrub karibu na chuchu za kiume sehemu ambayo ni very sensitive so nilizima Chini kujibu.

Yaani kwa huduma ya huyu dada unaona aibu hata kutoka bila kumtoa coz ukitoka hapo ni sawa na umetoka gsti hausi.

Problem inakuja kwa hawa wengine huduma zao ni za kawaida sana ambazo hazi ku motivate kumpa tip. so akikumaliza tu anaanza kukukodolea Macho yanayoashiria nipe changu.

Last time nakumbuka mdada alinitolea macho nikajifanya kama sijaona ikabidi aombe.

Akina dada jifunzeni kuwa scrub waume zenu aiseee, kule mnaibiwa big time!!! hivi hamuoni wivu waume zenu kupapaswa?

Mimi Paloma nilimpeleka saluni moja ambayo ni first class kwa scrub. wakampiga scrub ya mfano. From there on its only my Paloma who scrubs me.

love you Paloma

.....yani wewe, mhhh!!
 
kwa mpango huo sitaacha kumsindikiza
Mwache mzee akawezeshe biasha za watu, unadhani hao kina dada watakula wapi? then watakua hawamuhudumii vizuri.
Muachie uhuru bhana..
 
ntamsafisha mie watakapobakiza
Hhahaa...usiwe hivyo bhana, we hutaki challenge? ukitaka kujua thamani ya mumeo/mke uone watu wanampapatikia. Mie huwa naenjoy sana nkiona gf wangu anafuatwa..najua yeeees hapa nlipata lulu...
 
Hhahaa...usiwe hivyo bhana, we hutaki challenge? ukitaka kujua thamani ya mumeo/mke uone watu wanampapatikia. Mie huwa naenjoy sana nkiona gf wangu anafuatwa..najua yeeees hapa nlipata lulu...
hakuna sehemu ntaenda na mme wangu wasichana wasigeuke kumtizama hilo nshalizoea sio geni
 
TUMEPATANA, siunajua ndege wanao fanana huruka pamoja
Hahaha..wew ukiangaliwa ye anafanyaje? au akija nyumbani hakuulizi kama unataarifa za kuangaliwa kwako? then CHEATING IS PROHIBITED?
 
Hahaha..wew ukiangaliwa ye anafanyaje? au akija nyumbani hakuulizi kama unataarifa za kuangaliwa kwako? then CHEATING IS PROHIBITED?[/QU
Tumeshazoea, hata yeye anajua kwamba nasumbuliwa, na kukupa tu mfano kuna siku alinipeleka ofisi za TRA nilikuw na shida akawa ananisubiri kwenye viti me nikaenda kuongea na muhusika ambae alikuwa ni mkaka asianze kunitongoza bila kujua kwamba anaenisubiri ni mume wangu alizani ni mteja tu pia, ila mume wangu hakusema kitu akawa anatuangalia tu, ila tulipotoka pale tulibaki tunacheka tu akasema asingekuwa mwanaume mwingine angerusha ngumi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom