Wadada wa barber shop...mh...

Wadada wa barber shop...mh...

sisi huku uswazi hakunaga cha wadada sijui wa skrabu wala nini...ukienda saloon unanyoa ...unachapa lapa
Sasa nyinyi mnakosa hii starehe..Achaaaa..utakuta kibabu kinapigwa mi-touch ya ajabu, kinatoka kinarahaaa
 
mi wananimaliza wanaponiwekea vidole masikioni maana naona kama ni wizi mkubwa
 
mi wananimaliza wanaponiwekea vidole masikioni maana naona kama ni wizi mkubwa

Hapo ndipo patamu, ukute mtoto mwenye hajui kuogopa, anakufungua shati inabita mikono laini kifuani...Dah, hivi kunachuo wanapitia?
 
Mimi huwa wananisafisha masikio kwa ulimi,ni burudaani tosha.
 
Me nawapigaga miti kabisa hasa wakati wa masage
 
Mimi walinipatia siku ya harusi yangu sasa hawanipati nina scrub ya asili, kunyoa ni saluni za kawaida tu na mke wangu ananisifia nimependeza kweli. Inatosha ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom