Wadada wa barber shop...mh...

Wadada wa barber shop...mh...



Wenye hizi barber shop huwa wanafanya kusudi kwa kuwaweka warembo haswaa kwenye saloon zao.
Bila kusahau wanatoa ile huduma nyingine kama hawana akili vileee...( hapa nazungumzia % kubwa)
[/QUOTE]

Dah ! we ni bonge a danger ,kwa hiyo wewe unaenda kunyoa na kufuata huduma za wakubwa? teh!
 
Ni full mizoga wale madada na wanaboa mwanzo mwisho ndo maana mimi huwa sioshi au kuscrub nk. Nikishanyoa tu nalipa fasta natoka nduki huku nikisindikizwa na misonyo sauti ya kwanza yenye stereo kaliii....!
mshana kwa vibom hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 


Wenye hizi barber shop huwa wanafanya kusudi kwa kuwaweka warembo haswaa kwenye saloon zao.
Bila kusahau wanatoa ile huduma nyingine kama hawana akili vileee...( hapa nazungumzia % kubwa)

Dah ! we ni bonge a danger ,kwa hiyo wewe unaenda kunyoa na kufuata huduma za wakubwa? teh![/QUOTE]

Sitakudanganya ila sitakuambia ukweli pia...hahahahah
 
kUINGIZIWA VIDOLE kwenye masikio yaani Du......khaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom