ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,501
- 3,342
Jana nipo Kariakoo nikaagiza maji nikaletewa maji haya muuzaji akinambia yanaitwa “Mshangazi” ikabidi nicheke.
Nikaambiwa wengine wanayaita “Bonge la Dada”
Mchina kaja na maji mengi kwa bei ileile nafuu, yaani 1.8L
Wazawa wamelala, wakija kushtuka hawana chao
Nikaambiwa wengine wanayaita “Bonge la Dada”
Mchina kaja na maji mengi kwa bei ileile nafuu, yaani 1.8L
Wazawa wamelala, wakija kushtuka hawana chao