Wachagga na Serikali ya Magufuli

Wachagga na Serikali ya Magufuli

Status
Not open for further replies.
Nataman Watz wote Tungekuwa Wachaga Maana Tungekuwa Among of g8 country ....Hii mikabila mingine since the'r have been brought they cant even fight for ther family succeed wanabaki kutuonea wivu wachaga na kusema tuwakabila while they own nothing compared to us

Wakati ninyi mnapiga majungu na kucheza bao sisi tunafnya kazi na kukuza uchumi wetu n kubaki midomoni mwenu kuwa ni wezi
 
Nataman Watz wote Tungekuwa Wachaga Maana Tungekuwa Among of g8 country ....Hii mikabila mingine since the'r have been brought they cant even fight for ther family succeed wanabaki kutuonea wivu wachaga na kusema tuwakabila while they own nothing compared to us

Wakati ninyi mnapiga majungu na kucheza bao sisi tunafnya kazi na kukuza uchumi wetu n kubaki midomoni mwenu kuwa ni wezi

Tuanze kuongelea kuandika, kutunga sentesi na kuainisha tungo kabla hatujaongelea mambo mengine. What is "Among of g8 country, since the'r have been brought, cant, fight for there family succeed"? Do you know the difference between there, their and they're? Acha ulimbukeni wewe.
 
Last edited:
Makabila yapo zaidi ya mia moja ishirini ana chaguliwa mtanzania yeyote anaefaa sio lazma kabila fulan
Je kila kabila likidai nafasi itakuaje??
 
Tuanze kuongelea kuandika, kutunga sentesi na kuaiisha tungo kabla hatujaongelea mambo mengine. What is "Among of g8 country, since the'r have been brought, cant, fight for there family succeed"? Do you know the difference between there, their and they're? Acha ulimbukeni wewe.

Ficha upumbavu wako huko

Great people disscus ideas
 
Last edited:
Wachagga wako Moshi kwa ajili ya Christmas na Mwaka mpya!! Magufuli hajawaona angewateuaje?
 
Wakazi wa mabondeni tuliipigia ccm kura lkn tunasomeshwa number bila kulipwa hata fadhila
 
Jk aliitwa mdini , magufuli mkabila ..
 
Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...

I feel dissapointed and seggregated......

Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.


very dissapointed
Tatizo wachaga ni wapigaji wa kimataifa
 
Wachagga wengi ni majizi na mafisadi makubwa. Pale TRA ilifikia hatua zaidi ya asilimia 90 ya wafanyakazi ni wachagga. Wakaiba sana na kufilisi nchi. Sasa ni zamu yao kuisoma namba
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mkuu uzuri wachagga ni wapambanaji...hawategemei maendeleo sababu ya kuwa na waziri au naibu...hapa suala zima ni dhana ya uwakilishi. Kama kuna anayedhani maendeleo ni sababu ya kuwa na waziri au naibu this time mshangao utakuwa mkubwa zaidi
Tuna makabila 120!!! for God sake , who are you?? dhana ya uwakilishi??? disgusting

halafu pia lazima wewe ni chadema, bisha
 
wachaga ni waaajiri wakubwa hapa tz wakithibitisha kubaguliwa italeta mambomambo


wamejikita kwenye maduka zaidi, wanajiajiri wao kwa wao...huwezi kukuta msukuma pale au kabila lingine!There are already evident is more than ethnicity
 
Last edited:
Hahhaaaa...nimeelewa sasa wa tz lazima tufike mahali tuelewe maana ya utaifa...kuleta mada ya uchagga tu imekuwa shida kabisa....hii inaonyesha jinsi gani watanzania tunajidai wamoja lakini si kweli....mitusi na kejeli kibao dhidi ya wachagga...Kumbe tunaukana ukabila tu midomoni.

Tanzania ni yetu sote bila kujali nani anaongoza..
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Ushaprove ujinga wako mkuu, naona umeaibika
Tanzania itakuwepo tu bila hata ya wachaga, kama vipi jitengeni basi, na hawa wanawake wenu tuliowaoa tuwarudishie, na nyie mlikooa muwaache!!! muishi wenyewe na kuoana wenyewe!
Yaani umeboa na nadhani unaona unavyoaibika

wachaga kwanza hawana akili chafu ya inferiority kama wewe, labda wa kishumundu wewe
 
Ushaprove ujinga wako mkuu, naona umeaibika
Tanzania itakuwepo tu bila hata ya wachaga, kama vipi jitengeni basi, na hawa wanawake wenu tuliowaoa tuwarudishie, na nyie mlikooa muwaache!!! muishi wenyewe na kuoana wenyewe!
Yaani umeboa na nadhani unaona unavyoaibika

wachaga kwanza hawana akili chafu ya inferiority kama wewe, labda wa kishumundu wewe


mkuu itakuwa sio fresh ukitutenga.... na hawa wanawake watakosa wakuwaoa tuvumiliane tu sisi wachagga ndivyo tulivyo tutajirekebisha tu.. ni hayo tu
 
U
TUTAFIKA MAHALI TUTAELEWANA TU KAMA TAIFA.....SOCIAL MEDIA SI SEHEMU YA KUKASHIFIANA NA KUJENGA UADUI BALI NI SEHEMU YA KUELEWESHANA NA KUBADILISHANA MAWAZO.

TUWAZE NAMNA YA KUJENGA TANZANIA AMBAYO INAONGOZA AFRIKA MASHARIKI NA KUWA MFANO WA AMANI NA MSHIKAMANO SIO UTENGANO. MUNGU IBARIKI TANZANIA
Ushaharibu mkuu!!! hata mtoa maada anakushangaa , alikuwa anakutafuta mtu wa aina yako, pengine anafanya reserach!

Believe me, 99.9999 ya wachaga wengi hawajihisi kama wewe, ni confident, hardworker, wana akili na wako position nyingi kubwa nchi hii, they will never think kama wewe

mnaosumbua ni nyie mlioshindwa maisha, inferiors, ! umeshangaza sana....hata ukimkuta mchaga anashona viatu au anauza bucha , wako Happy, confident na wanawaza hela tu!! sio kama wewe......ebu muulize mama yako kama baba yako ni mchaga kweli.................wengi wana akili kama za Mbowe, hela kwanza!!! Sio kulia lia

jamaa hapo juu kasema, unatakiwa uishi na wanyama, ni haki yako kabisa. Unaweza kuja kwangu nikakuweka banda la mbuzi nikulishe na kukutunza, halafu atakayekuletea chakula ni dada yako wa kichaga ambaye nimemuoa!!

I mean, jamii ya kitanzania leo mwaka 2016...siyo ya kujadili uchaga, we are more than 120 tribes...why you?? who are you?? haujishtukii tu
 
Tuna makabila 120!!! for God sake , who are you?? dhana ya uwakilishi??? disgusting

halafu pia lazima wewe ni chadema, bisha
Yn huyu kila uteuzi wa rais ukitoka anakimbilia kuona kabila lake ...sasa ht km hawafai kuongoza wachaguliwe tu?? Kuna watu ni matahira...kila kabila likianza kujikagua tutafika
Hapa ndio nimejiridhisha kuwa kweli wachaga ni wabinafsi
 
Wewe chukia tu,
Lakini kama Mchagga mwenzako ukweli lazima nikwambie,
Don't live in a fish bowl. Yale maneno ya kibaguzi tunayoambiwaga tukiwa na kina mjomba siyo lazima turudi nayo mjini.

This country is BIGGER THAN WACHAGGA, BIGGER THAN CCM and even more BIGGER THAN that MAGUFULI.


QUIT LIVING IN A FISH BOWL.

Congratulation mkuu, naona usipoeleweka sio kwa wachaga tu, bali kwa kila mtanzania basi tutakuwa tunathibitisha kuwa tumerogwa
 
Safari ya JPM ya Tanzania anayoitaka ndo imeanza sasa nyie ni mabingwa wa kubadili gia angani msije kuwekea reverse
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom