Wachagga na Serikali ya Magufuli

Wachagga na Serikali ya Magufuli

Status
Not open for further replies.
Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...

I feel dissapointed and seggregated......

Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.


very dissapointed
Mkuu Tanzania ina makabila zaidi 120 kwani nyinyi mna kitu gani cha ziada kushinda makabila mengine - mpaka mfikie hatua ya kufikiri lazima mpewe special preference - mbona mpo wengi kwenye vitengo nyeti Serikalini na mashirika ya umma.
 
Mkuu Tanzania ina makabila zaidi 120 kwani nyinyi mna kitu gani cha ziada kushinda makabila mengine - mpaka mfikie hatua ya kufikiri lazima mpewe special preference - mbona mpo wengi kwenye vitengo nyeti Serikalini na mashirika ya umma.

Watu wenye ukabila huwa siwaelewagi hata kidogo.
Happy New Year
 
Na yule somebody Njau
Katibu wa wizara ya madini je ?

No reseach no right to speak

Wapo karibia makatibu wanne sasa sijui hii yako umetoa wapi .

Halafuu wewe unawaza wachaga .wachaga hii sio tabia nzuri .Na wanyaturu au wamakua au wabena nao wakitaka kuleta madai kama hayo yako si balaaa hili?
Au kunamahali imeandikwa wachaga kuwepo serikalini ni torati ya Musa ?

Tafakari.......
 
sehemu zote zenye kabila la wachagga hakuna hata mbunge mmoja wa chama twawala..
 
Hasa pale TRA walifanya ni makao ya wachaga (northern) wanetu waliosoma mambo ya -kodi pale Moshi na kufaulu vema wakienda TRA kuomba ajira wanaangaliwa kama si ndg zao wa kaskazi ni NO..!

Sasa kama wewe unakimbilia kusomea ualimu ni kosa la mchaga? Mchaga anaangalia kwenye pesa.
 
Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...

I feel dissapointed and seggregated......

Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.


very dissapointed

Hapo ndiyo mnapofanya makosa. Wakati wa uchaguzi mlikuja na agenda ya watu wa Kaskazini lakini ulikuwa ni ukabila fulani wa chini chini. Uchaguzi umekwisha, mmepata waziri kutoka kaskazini mnasema huyo ni mpare. Mkipewa mchaga mtasema huyo Mrombo, Mmachame, Mu-old Moshi, Mmarangu nk.

JPM anaangalia sifa na watu ambao anaamini atafanya nao kazi vizuri, sidhani kama ukabila ni kigezo cha kuteua mawaziri. Wakati wenzenu wanafikiria jinsi ya kutatua matatizo yanayoikabili dunia, nyie bado mnafikiria uchaga. Nasikitika sana ukabila imekuwa ni sehemu ya DNA yenu.
 
Sehemu yoyote ukimuweka mchaga lazima aibeeee sanaaaaa....kifupi kazi mnayoiweza wachaga ni kunywa mbege na kula kisusio...... Mtaisoma namba ..... Mchaga ni MTU hatari sana kukugeuka ni Mara moja...hatari hawa watu
 
Wachaga walipeana fursa sana kipindi cha nyuma fuatilia TRA issue kuna wachaga wangapi ktk sakata la makontena la awali,utapata jibu
 
Sasa kama wewe unakimbilia kusomea ualimu ni kosa la mchaga? Mchaga anaangalia kwenye pesa.

J.K Nyerere alisomea ualimu, JPM alisomea ualimu, Robert Mugabe alisomea ualimu. Barack Obama alikuwa anafundisha University of Chicago kwa muda mrefu tu kabla hajaenda bunge la Marekani. Ualimu unatatizo gani au wizi ndiyo ujanja?
 
ungekuwa political analyst ungeelewa topic.....at the end nimeomba mchango kwa wachagga.....kama siyo Vunga

Mada ikiwekwa hapa kila mtu ana haki ya kuchangia na kama unataka wachaga pekee wachangie, nenda ukaanzishe mtandao wa ki-kabila, siyo hapa.
 
Hii Tanzania ni yetu sote zamu hii ya watu wengine mbona miaka yote Kaskazini mnatoa Mawaziri wakuu kama Msuya, Lowassa, Sumaye, Sokoine, na Mawaziri wengi tu na Mramba, Chami, Yona, lakini watu wa mikoa mingine hawalalamiki.

Hapa Kazi Tu.
Mkuu kwema?
Kuna mahali nilikuita sana ukakausha. Tuachane na issue za ukabila, tuje kwenye ule upande "mwengine", unadhani kweli wale kina "sisi" tumetendewa haki hapa kwenye huu uteuzi?
 
Wachaga nyie si ndo toroka uje??? Hatuwapi ng'oo hatutaki mamluki na watoro....endeleeni kutoroka mwende
 
Hivi unajua % kubwa ya wachaga ndiyo wanaendesha serikali kwa kukusanya mapato makubwa serikalini!!
Najua, na hivi Unajua wachagga ndio wanaongoza kwa kukwepa kodi, kupiga dili, upendeleo kwa wao kwa wao,ubaguzi na wizi ulikithiri?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom