Wachagga na Serikali ya Magufuli

Wachagga na Serikali ya Magufuli

Status
Not open for further replies.
Hii Tanzania ni yetu sote zamu hii ya watu wengine mbona miaka yote Kaskazini mnatoa Mawaziri wakuu kama Msuya, Lowassa, Sumaye, Sokoine, na Mawaziri wengi tu na Mramba, Chami, Yona, lakini watu wa mikoa mingine hawalalamiki.

Hapa Kazi Tu.
 
Tusiume maneno NYINYI NI MAJIZI, WABINAFSI NA WAKABILA SANA. Awamu hii mtaisoma tu.

Mkuu uzuri wachagga ni wapambanaji...hawategemei maendeleo sababu ya kuwa na waziri au naibu...hapa suala zima ni dhana ya uwakilishi. Kama kuna anayedhani maendeleo ni sababu ya kuwa na waziri au naibu this time mshangao utakuwa mkubwa zaidi
 
Chauvinism is never rational; no matter how sound it may appear.
Hivi na wagogo, wamassai, Wahehe, Wakinga, Wamakonde, Wahaya wakiwa na Akili kama zako tutafika kweli?
Hebu acha UZANDIKI na MAJUNGU
 
Sumaye ni muiraq,siyo mchaga,kajaza akina nshomile wenzie.mfano kamuzora, alikuwa mzumbe na walisoma naye.
 
halafu kabla hujajiuliza hili jiulize wabunge wangapi wa ccm ni wachaga?? wachaga wangapi wako kwenye vitengo ambavyo wangefaa kuteuliwa na niwaadilifu kwenye mali za uma hata kwa kiasi tu maana wezi ni wezi ila wengine ni majizi
Mwaj wa ukweli
 
Wakwaya sijui kama kuna wakati wowote tuliwahi kuwemo lakini hatujawahi kulalamika. Nchi ina makabila 126 kwa hiyo sampling lazima itakuwa biased tu. Next time mtakuwemo JOMBAA
 
Kutesa kwa zamu. Hivi Sumaye hakuwa mchaga? Hata wakati wa Che Nkapa mkewe alikuwa mchaga. Wacheni kulialia Tanzania ni ya Watanzania uwe Nchaga, Nkwere, Mtindiga, Mmanyema, Hadzibo et al utakuwa kiongozi. Wacha ukabila wewe mbona wachaga wengi ndio waliokuwa wamejaa TRA etc?
Hezibo ndio kabila gani kiongozi?
 
Mleta Mada ni miongoni mwa wale wagonjwa(msomi asiyeelimika)..

Ni kama mchawi kila jambo analiona kimapungufu na hapo ndipo roho yake huridhika..

Achakutupotezea Wakati na kama hutoridhika fata mikondo ya sheria(Mahakamani), Lasi hivyo achakulialia sio wakati wake huu..
 
Kweli mkuu hili jambo limenifikirisha sana!! Sijui magufuli na ccm wana agenda gani na wachagga?
Au huu nao ni ule "mpango mahususi"?
 
Mleta Mada ni miongoni mwa wale wagonjwa(msomi asiyeelimika)..

Ni kama mchawi kila jambo analiona kimapungufu na hapo ndipo roho yake huridhika..

Achakutupotezea Wakati na kama hutoridhika fata mikondo ya sheria(Mahakamani), Lasi hivyo achakulialia sio wakati wake huu..
 
Hasa pale TRA walifanya ni makao ya wachaga (northern) wanetu waliosoma mambo ya -kodi pale Moshi na kufaulu vema wakienda TRA kuomba ajira wanaangaliwa kama si ndg zao wa kaskazi ni NO..!
Nilindika hapa Magu na ukabila,Alivoenda kanda ya ziwa tabora hakuwa mtanzania na hatakuwa.Hata wa makabila mengine wamewekwa kuua sooo hawahitajiki, ni Ntemiship
 
Kweli mkuu hili jambo limenifikirisha sana!! Sijui magufuli na ccm wana agenda gani na wachagga?
Au huu nao ni ule "mpango mahususi"?
Halafu msipodhibitiwa mtatuletea ukabila nyie wachagga maana ake thread za kichaga hazipungui humu jamvini.jaribuni kuwa wastaatabu hivi nasisi wakwere tukianzisha hapa patakalikaa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom