kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,931
- 7,828
teh teh..unataka kusema wanabomolewa? hawa jamaa hawako mabondeni ila wamezidi uroho. walijidai wakidhani wangetuingiza choo cha kike na kudhani cdm yao itachukua dola wakaangukia pua.Mmeibia Nchi Hii Kwa Muda Mrefu Na Sasa Ni Lazima Muisome number kama Wakazi wa Mabondeni.
wamangi acheni uroho. mlitaka kuingiza taifa choo cha kike mkaukwaa mkenge. sasaKila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...
I feel dissapointed and seggregated......
Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.
very dissapointed