KAFA.cOm
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 1,301
- 741
Lakini kweli ila huku uchagani kuna wabunge wamasai piaMbona huwasemei wamasai, Kosa limefanywa na chama chenu! Kwa msimamo wenu Mchagga yeyote au mmasai aliyesimama kupingana na mgombea wa Chadema ktk maeneo yenu mlimpiga chini. ulitaraji Magufuli apate mawaziri toka wapi?