Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,648
Wale bado ni watuhumiwa tuu! Watashinda maana hakuna ushahidi kuwa waliiba!Maendeleo yapi kufanya ufisadi TRA.
Wale bado ni watuhumiwa tuu! Watashinda maana hakuna ushahidi kuwa waliiba!Maendeleo yapi kufanya ufisadi TRA.
Hezibo ndio kabila gani kiongozi?
Wale bado ni watuhumiwa tuu! Watashinda maana hakuna ushahidi kuwa waliiba!
Hili ni jambo zuri kisiasa kwakuwa bado kuna wana ccm wengi huko kusikotakiwa watastuka na kuimarika .Katalunya hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeNilindika hapa Magu na ukabila,Alivoenda kanda ya ziwa tabora hakuwa mtanzania na hatakuwa.Hata wa makabila mengine wamewekwa kuua sooo hawahitajiki, ni Ntemiship
Wewe ndo unaanzisha chokochoko na hoja za kitoto.umoja upi unauzungumzia huku unasema wachagga wanabaguliwa. Hii mtaivuruga kwa upumbavu wenu.kwani lazima ujisikie we mchagga mbele za watu? Makabila mangapi hawajawahi kuwa hata na waziri?Hahhaaaa...nimeelewa sasa wa tz lazima tufike mahali tuelewe maana ya utaifa...kuleta mada ya uchagga tu imekuwa shida kabisa....hii inaonyesha jinsi gani watanzania tunajidai wamoja lakini si kweli....mitusi na kejeli kibao dhidi ya wachagga...Kumbe tunaukana ukabila tu midomoni.
Tanzania ni yetu sote bila kujali nani anaongoza..
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Nadhani wewe ndio huna akili jifunze kwanza kuandika herufi ndogo unapom quote mtu.HUNA AKILI WEWE.
Lina nini hilo kabila.hebu tufundisheTatizo lenu hamjui umuhimu wa hili kabila katika swala nzima la kuharakisha maendeleo.
HUNA AKILI WEWE.
Nadhani wewe ndio huna akili jifunze kwanza kuandika herufi ndogo unapom quote mtu.
ungekuwa political analyst ungeelewa topic.....at the end nimeomba mchango kwa wachagga.....kama siyo Vunga
TUTAFIKA MAHALI TUTAELEWANA TU KAMA TAIFA.....SOCIAL MEDIA SI SEHEMU YA KUKASHIFIANA NA KUJENGA UADUI BALI NI SEHEMU YA KUELEWESHANA NA KUBADILISHANA MAWAZO.
TUWAZE NAMNA YA KUJENGA TANZANIA AMBAYO INAONGOZA AFRIKA MASHARIKI NA KUWA MFANO WA AMANI NA MSHIKAMANO SIO UTENGANO. MUNGU IBARIKI TANZANIA
Umesema sahihi kabisa. Chaggaz are not politicians. Chaggaz are fighters.ta
tatizo lingine wachaga mpo wachache mno, mmekimbilia kwenye biashara za textile business(second-hand) on issues of politics u can not......
Unafikiri kwanini sina akili??? CCM imedumaza akili yanguWEWE HUNA AKILI
Wewe ndo unaanzisha chokochoko na hoja za kitoto.umoja upi unauzungumzia huku unasema wachagga wanabaguliwa. Hii mtaivuruga kwa upumbavu wenu.kwani lazima ujisikie we mchagga mbele za watu? Makabila mangapi hawajawahi kuwa hata na waziri?
Wachaga wameiba nini hadi waende Segerea?Sasa hivi zamu Yao kwenda ofisi nyingine ya serikali ambayo ni Sega rea
huyu kamuzora sio mnyarwanda huyu?Sumaye ni muiraq,siyo mchaga,kajaza akina nshomile wenzie.mfano kamuzora, alikuwa mzumbe na walisoma naye.
Wewe ndo unaanzisha chokochoko na hoja za kitoto.umoja upi unauzungumzia huku unasema wachagga wanabaguliwa. Hii mtaivuruga kwa upumbavu wenu.kwani lazima ujisikie we mchagga mbele za watu? Makabila mangapi hawajawahi kuwa hata na waziri?
Wewe ni mkabila,
Adui wa Utanzania,
Hutakiwi kuchekewa,
Inabidi uende ukaishi na wanyama porini.
Inabidi uogopwe kama UKOMA
Wewe ni mkabila,
Adui wa Utanzania,
Hutakiwi kuchekewa,
Inabidi uende ukaishi na wanyama porini.
Inabidi uogopwe kama UKOMA