Wachagga na Serikali ya Magufuli

Wachagga na Serikali ya Magufuli

Status
Not open for further replies.
Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...

I feel dissapointed and seggregated......

Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.


very dissapointed
Subiri serikali kivuli ya Chadema !
 
Kila napojaribu kutafakari uteuzi wa Magufuli kuanzia kwa mawaziri...makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu sielewi nini hasa tumeikosea serikali yake...

I feel dissapointed and seggregated......

Labda wachagga wenzangu mnisaidie kufanya analysis Japo sina maana ya Ukabila.


very dissapointed
Like enzi za kina Mramba ....na TRA
 
Mbona unajipa presha ya bure.
Mridhike na mlicho kifanya.
Mzee Msuya juzi kalalamika hadharani, hata wajumbe wa CCM waliisaliti katika uchaguzi mkuu, na kuipa kura Ukawa.
Sasa kanda yote ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro wameipa kura UKAWA, mnategemea nini zaidi?

Kuna sehemu zilizoichagua CCM ya Magufuli, hao ndo wanastahili kupewa "zawadi" ya kumsapoti mzee wa push up.
Hiyo ni simple common sense, na ajabu ya mwaka hata Aggrey Mwanri mkampiga chini!
Lazima muelewe kuwa unavuna pale ulipopanda, usitegemee kuvuna uongozi wa CCM, wakati uliichagua UKAWA.


Basi tulikuaa tunadanganyana kwamba serikalini itakuwa ya kitaifa ......kwa taarifa tu Moja ya kazi ya wabunge wa kuteuliwa na rais ninkurekebisha hizi numbers Mfano kuteuwa maeneo ambayo angependa kuchagua mtu kwa ajili ya national balance lakini hakupata Mbunge ....Kama alimtaka Agrey Mwamry alishindwa nini kuteuwa kwenye vile viti vyake ....
Watu wako so disappointed na ubaguzi wa asubuhi na Mapema lakini kwa kuwa miaka yote wamekuwa waliiishi bila kuitegemea serikalini ...wengi Sasa wameamua watafanya shughuli zao binafsi .....na Hakuna ambaye atalilia hizi nafasi
 
Hasa pale TRA walifanya ni makao ya wachaga (northern) wanetu waliosoma mambo ya -kodi pale Moshi na kufaulu vema wakienda TRA kuomba ajira wanaangaliwa kama si ndg zao wa kaskazi ni NO..!
Sasa kama wewe unakimbilia kusomea ualimu ni kosa la mchaga? Mchaga anaangalia kwenye pesa.
Umeelewa lakini hiyo comment hapo juu? Ualimu unasigana na bwana kodi?
 
Usiwe mjinga, kwani kuna mahali pameandikwa wachaga lazima muwepo? Unataka kuniambia kuwa mababila yote zaidi ya 50 hapa Tz yanawakilishwa isipokuwa wachaga?? Hovyo kabisa!
Huyu labda ni mmoja wa wale wanaojiita northern empire. Anadhani wachaga ndio watanzania wengine sijui ni wakimbizi. Asituletee ukabila hapa.
 
Mmeibia Nchi Hii Kwa Muda Mrefu Na Sasa Ni Lazima Muisome number kama Wakazi wa Mabondeni.


Wizi hauna kabila .
Uhalifu hauna kabila na wale wanovunja sheria wanatakiwa kuadhibiwa.

Pia ukichunguza wizi uliotikisa hii nchi hapakua na wachaga.
EPA.
MEREMETA
RICHMOND
ESCROW

Uuzwaji wa kupeana wa Nyumba za Serikali

Uuzwaji wa mashirika ya umma kwa bei za rushwa.

Kuvunjwa kwa azimio la Arusha ili kuweka mazingira mazuri ya kuiibia serikali.

Mtumishi mmoja wa serikali kumiliki Majumba 73 kwenye eneo moja.

Uuzwaji wa Loliondo.

Mikataba ya gesi yenye harufu ya rushwa.

Sakata la uuzwaji wa UDA.

Ununuzi wa feri chakavu kwa bei ya kuruka.

Mabehewa feki.

Kiwira

Uuzwaji wa bei poa wa kilimanjaro hotel.

Uchafu wa majiji na miji kutokana na kushindwa kwa wakurugenzi.

Kuvunjika kwa maadili ya vijana na wazee kila kona ya nchi kutokana na tamaa ya fedha pia hufanywi na wachaga peke yao.

Tafakari kabla ya kubagua watu kwa misingi ya ukabila.



Wizi wa kura.

Mashule yanayotoa elimu kimagendo yaliyojaa nchi nzima pia hayamilikiwi na wachaga.

Biashara za madawa ya kulevia .

Ununuzi wa rada.

N.k.

Yote niliyotaja hapo juu ni ufisadi mkubwa uliolitia hasara taifa letu.
Na hapakua na uchaga kwenye huo ufisadi lakini linapokuja suala la madaraka ndipo watu wanawabagua wachaga.
Nadhani hii ni promotion na propaganda zinazofadhiliwa na mafisadi waliojichimbia kwenye uongozi wa nchi ili waendelee kuihujumu nchi.
Mfano tu uko wazi Bazili Mramba alikua waziri wa fedha kipindi cha Mkapa na akakuza sana uchumi wa nchi na kudhibiti thamani ya fedha yetu lakini utawala uliofuata uliingia kwa majungu na kumpeleka gerezani kwa sababu tu alikua mchaga ili wapate nafasi ya kuiba fedha za umma.
Mkulo alivuruga alituhumiwa sana lakini hakupelekwa gerezani kama Mramba.
Mrema alikataa ufisadi uliofanywa kwenye sakata la Chavda na akafukuzwa kwa sababu ya uchaga wake ili waroho wa mali za umma wapate nafasi ya kuiibia nchi.
Agrey Mwanry alikuatendaji bora kuliko waziri wake lakini uchaga wake ukamponza.
Mbowe ndiye mwenyekiti bora wa chama kuliko wenyeviti wa vyama vyote nchini lakini kwa sababu ya uchaga wake anaambiwa hajafanya kitu.

Fikiri sawa sawa kwa kutumia akili yako mwenyewe.
 
Mimi sio mchaga lakini nilichukia sana nilipokuwa semina naibu waziri wa Jk akiwaamuru waandishi wa habari kuzima vyombo vyao,kisha yeye akatangaza mapambano na wachaga.
anaitwa nani huyo naibu????
 
Basi tulikuaa tunadanganyana kwamba serikalini itakuwa ya kitaifa ......kwa taarifa tu Moja ya kazi ya wabunge wa kuteuliwa na rais ninkurekebisha hizi numbers Mfano kuteuwa maeneo ambayo angependa kuchagua mtu kwa ajili ya national balance lakini hakupata Mbunge ....Kama alimtaka Agrey Mwamry alishindwa nini kuteuwa kwenye vile viti vyake ....
Watu wako so disappointed na ubaguzi wa asubuhi na Mapema lakini kwa kuwa miaka yote wamekuwa waliiishi bila kuitegemea serikalini ...wengi Sasa wameamua watafanya shughuli zao binafsi .....na Hakuna ambaye atalilia hizi nafasi
Unavuna..........ulichopanda!!!
 
Hasa pale TRA walifanya ni makao ya wachaga (northern) wanetu waliosoma mambo ya -kodi pale Moshi na kufaulu vema wakienda TRA kuomba ajira wanaangaliwa kama si ndg zao wa kaskazi ni NO..!
Kuna taarifa kwamba wakati dalili zilipoonyesha katika kampeni kwamba Magufuli anaweza kushinda nafasi ya urais, wengi wa wachaga walioko TRA walianza mchakato wa kubadili majina kuondoa yale yanayowatambulisha kama ni wachaga.

Kwa mfano wenye majina ya Swai, Massawe, Lyimo, Mrema n.k yaliapiwa mahakamani na kubadilishwa haraka haraka. Kama ni kweli hapo kuna jambo limefichika.
 
Nyepesi kumeza, haiwezekani na hapana mdudu kama huyo!!
Kuna taarifa kwamba wakati dalili zilipoonyesha katika kampeni kwamba Magufuli anaweza kushinda nafasi ya urais, wengi wa wachaga walioko TRA walianza mchakato wa kubadili majina kuondoa yale yanayowatambulisha kama ni wachaga.

Kwa mfano wenye majina ya Swai, Massawe, Lyimo, Mrema n.k yaliapiwa mahakamani na kubadilishwa haraka haraka. Kama ni kweli hapo kuna jambo limefichika.
 
uwizi umewaponza
CCM haina tofauti na wakoloni ,,,waislam ni CUF,waislam ni magaidi hivyo CUFmagaidi wapemba CUF tutawaachiaje nnchi kwa makaratasi? Chadema wachagga wametunyonya wametuibia sana.Matokeo yake chagua Kishimba,Musukuma sivyo mwizi ama gaidi
 
Najivunia sana kuwa mchaga..ni kabila pekee ambalo unaweza kujitambulisha kwa kujiamini mbele za watu..sio hizi kabila nyingine zinafundisha watoto ujinga..eti wanafungia watoto sehemu wanawafundisha jinsi ya kuwakatia viuno wanaume😛😛makabila mengine bhana!!
 
Wachagga mna roho ya ubinafsi sana. Mnataka nini kila siku nyie kulia lia tu,
Tangu lini Wachagga mkaipenda CCM? KUMBUKENI MAGUFULI ANATOKA CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Nachukia sana mawazo ya kikabila sijui kwa nini. Magufuri sikumpatia kura pamoja na kuwa ni msukuma na tunatoka mkoa mmoja. Kura yangu alichukua Lowassa hata kama Slaa angekuwa mgombea magufuri asingeona kura yangu. Anachokifanya Magufuri ni kuweka watu wasio na mawaa yoyote na sio ubaguzi. Ubaguzi ulishamiri sana kipindi cha kikwete hasa kwenye udini hapo hadi ikafikia tukaanza kuuana kwa sababu ya kuchinja (mfano ni huku kwetu Geita mchungaji alikatwa mapanga sababu ya kipuuzi tu eti kuchinja wakati siku zote waislamu ndiyo wanaochinja iwe una sherehe nyumbani kwako ukiona inafaa unachinjiwa na maisha yanaenda kwa amani kabisa.
 
Sasa na sisi wandamba na wakaguru tusemeje??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom