Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wahitimu wanapata tabu mtaani tena wanaingia hasira sana kuona miaka inakwenda na ajira hawapati, ubaya zaidi ni pale viongozi wanapowaambia waende kulima shamba
Shamba la bibi limedoda, wajukuu wanavuna matunda yangali mabichi na wajomba wanakatiana ardhi na kupiga bei watakavyo hatimaye kukipambazuka.....
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom