Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kipaumbele hakuna kwani taasisi husika pia hazijiamini kufanya maamuzi yoyote yasije yakaenda kinyume na serikali kuu.
Kuuguliwa kwa magonjwa ya uchumi hutafanya tuduwae kifikra pasipo na azma ya kutafuta muarobaini wa kuponyesha !!!
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Kuponyesha kunahitaji kugunduliwa kwa ugonjwa na tiba sahihi
Sahihisha ubunifu wa siasa za kizamani, Maana leo tupo mwaka 2016 ukiongozwa na Digital err
wakati Viongozi wengi umri umekwea mvi na uajuza una shindana na ushaibu bila kujali kipindi cha lala Salama...!!!
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Vichakani vijana huishia kubwia na kuvuta madawa ya kulevya, maisha yanawakatisha tamaa kwa ufinyu wa ajira
 
Tatoo yangu inasomeka AIDS dushe likilala na likinyanyuka inasomeka ADIDAS
 
Back
Top Bottom