Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kukipambazuka tutanawa uso, kupiga mswaki na kuendelea na maisha yetu tuongeze juhudi na mipango tutafanikiwa inshallah
In-Sha-Allah ni neno lenye kudhihirisha "Uwezo wa Mwenyezzi Mungu" katika kututekelezea jambo jema mbeleni, hivyo tujipange kulipokea.....
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Yepi yepi ni lahaja za kipwani kama unavyowaona kitang'ata na tumbatu kule ambapo kikongwe hakuwahi kuona gari tangu amezaliwa ndani ya Tanzania hii
Hii dunia ishakuwa kijiji kimoja kimawasiliano, acha bhana kuwaponda maajuza na mashaibu wetu, kwani kesho nasi tutapinda mgongo !!!!😛😀
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Njia ya muongo ni fupi, na penye nia pana njia hivyo nivyema watanzania wote tukaiunga mkono serikali yetu kwenye safari hii ya viwanda kwa pamoja
Kwa pamoja mie na wewe ndo tumeanza kuungana... ifikapo wengine kuelimika nao wataungana hadi Umma mzima utageuka kuwajibika kuntu !!!
 
Back
Top Bottom