danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
Utalipata kweli mkuu, tena sio dogoMjini kuna vituko, uhuni lakini mjini shule fundisho la maisha utalipata....
Utalipata kweli mkuu, tena sio dogoMjini kuna vituko, uhuni lakini mjini shule fundisho la maisha utalipata....
Dogo wa siku hizi hawana heshima kwa watu wazima.....Utalipata kweli mkuu, tena sio dogo
Wazima kweli nyie mnaendelea kupost, wakati wa mwisho ndo mshindi; Na mimi ndo wa mwishooo,jkhkdgdfiediiueeDogo wa siku hizi hawana heshima kwa watu wazima.....
Juma kaka huna kingine, dandia gari daladala ufike darajani ikisimama ipe kisogo ujitosee !!Wazima kweli nyie mnaendelea kupost, wakati wa mwisho ndo mshindi; Na mimi ndo wa mwishooo,jkhkdgdfiediiuee
Nyingine nyingi tu, Mpendwa Azu yeyote aingiae anga zako mteremshe bila parachuti....😛Ujitosee nje ya huu mchezo, ulidhani utamtegea ZZ asiweze kuendeleza herufi zako zisizoeleweka. Big up ZZ. Hapo umeshindwa njoo na mbinu nyingine
Ujitosee nje ya huu mchezo, ulidhani utamtegea ZZ asiweze kuendeleza herufi zako zisizoeleweka. Big up ZZ. Hapo umeshindwa njoo na mbinu nyingine
Nyingine nyingi tu, Mpendwa Azu yeyote aingiae anga zako mteremshe bila parachuti....😛
Mtu mzima ni dawa kwa jamii..., akikupa ushauri ni bora uufanyie kazi na kuendeleza ubunifu .....Nyingine Auz watu wengine hawapendi wenzao wawe Na furaha ya chemsha bongo.Humu JF ziko uzi nyingi za ugomvi wa siasa,drama za mapenzi,umbea Na mengi tu.Kijijini kwetu hawa watu tunawaita vidudu mtu.
Mtu mzima ni dawa kwa jamii..., akikupa ushauri ni bora uufanyie kazi na kuendeleza ubunifu .....
Maisha tuyapange katika makundi matatu:- 1. maisha ya jana 2. maisha leo 3. maisha ya kesho.. Sasa hapo tuchanganye ubora wa siku ya jana kwa ugumu wa leo... tija utaipata kukuvusha hapo mbele....Ubunifu Ni muhimu katika maisha
Maisha tuyapange katika makundi matatu:- 1. maisha ya jana 2. maisha leo 3. maisha ya kesho.. Sasa hapo tuchanganye ubora wa siku ya jana kwa ugumu wa leo... tija utaipata kukuvusha hapo mbele....
Chenga inakubalika popote (kwani ni fair game) ila wewe piga rafu ndogondogo bila kuumiza mshindani..Hapo mbele Ni vigumu kuvuka Kama maisha ya Leo yananipiga chenga
Mshindani hana utani kapania kupata medaliChenga inakubalika popote (kwani ni fair game) ila wewe piga rafu ndogondogo bila kuumiza mshindani..
Medali ya ubingwa kwako nakuvisha mie mwenyewe kwa heshima na taadhima bila kumsahau Mgogo1 nampa tashriffa....Mshindani hana utani kapania kupata medali
Tashriffa kupata Mg1 ni sawia ila mimi narudisha kwako kwako kombe ndiyo mwenye haki ya kulinyakuwaMedali ya ubingwa kwako nakuvisha mie mwenyewe kwa heshima na taadhima bila kumsahau Mgogo1 nampa tashriffa....
Kulinyakuwa kunahitaji hadhi na ridhaa za wanajumuiya almaarufu kama MwinyiMkuu,Mwinyibaba na alwatan wa mwambao......😎Tashriffa kupata Mg1 ni sawia ila mimi narudisha kwako kwako kombe ndiyo mwenye haki ya kulinyakuwa
Mwambao ma-Mwinyi wapo wengi lakini wanaheshimianaKulinyakuwa kunahitaji hadhi na ridhaa za wanajumuiya almaarufu kama MwinyiMkuu,Mwinyibaba na alwatan wa mwambao......😎
Wanaheshimiana kwa kuwa mtu na shemeji yake, mtu na mtani wake, Mtu na mshirika wake hadi shamabani wapo kiujamaa !!!Mwambao ma-Mwinyi wapo wengi lakini wanaheshimiana