Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Kisichopendeza zaidi ni kuleea hasira mwilini ndipo matokeo ya ushari huibuka...Kumdhuru binadamu mwenzio ni kitendo kisichopendeza
Kisichopendeza zaidi ni kuleea hasira mwilini ndipo matokeo ya ushari huibuka...Kumdhuru binadamu mwenzio ni kitendo kisichopendeza
Huibuka na kuleta taharuki na mtafarukKisichopendeza zaidi ni kuleea hasira mwilini ndipo matokeo ya ushari huibuka...
Mtafaruk unaotokea kule bungeni ni tija la kutosikiliza rai na mapendekezo ya wengine !!!Huibuka na kuleta taharuki na mtafaruk
Wengine yetu macho mambo ya wanasiasa usiingie kucheza ni wasani kupita chale champlin, usije kushanga kesho wanakunywa chai meza moja!Mtafaruk unaotokea kule bungeni ni tija la kutosikiliza rai na mapendekezo ya wengine !!!
Moja kwa moja nimeshawatambua walaji kodi za wanyonge, Nasubiri ku DANCE juu ya makaburiWengine yetu macho mambo ya wanasiasa usiingie kucheza ni wasani kupita chale champlin, usije kushanga kesho wanakunywa chai meza moja!
Moja kwa moja nimeshawatambua walaji kodi za wanyonge, Nasubiri ku DANCE juu ya makaburi View attachment 358609
Peponi kumegawanyika katika mafungu kadhaa.. Sasa ndg. Mgogo1 wewe unalenga makazi yepi huko peponi.. ?Makaburi ndio mwisho wa dunia.Watu wengi huogopa kufa Lakini sote twapenda kwenda peponi.
Peponi Kumegawanyikaje mkuu, Hebu yaweke hapa hayo mafungu kadhaa, na sisi tuyajuePeponi kumegawanyika katika mafungu kadhaa.. Sasa ndg. Mgogo1 wewe unalenga makazi yepi huko peponi.. ?
Tuyajue khaswa elimu hii inabidi tuanzia mwanzo kama Mti unavyokuwa shambani au mbugani hupitia viwango moja baada ya kingine...Peponi Kumegawanyikaje mkuu, Hebu yaweke hapa hayo mafungu kadhaa, na sisi tuyajue
kingine kipi tena. ukishakufa ndo mwisho wako hakuna pepo wala papaTuyajue khaswa elimu hii inabidi tuanzia mwanzo kama Mti unavyokuwa shambani au mbugani hupitia viwango moja baada ya kingine...
Papa ni aina ya samaki wa maji chumvikingine kipi tena. ukishakufa ndo mwisho wako hakuna pepo wala papa
chumvi si lazima itoke baharini hata katikati ya mapaja ya mwanamke kwa juu kidogo inapatikanaPapa ni aina ya samaki wa maji chumvi
chumvi si lazima itoke baharini hata katikati ya mapaja ya mwanamke kwa juu kidogo inapatikana
Nguoni tunashangaa yametokea wapi muda huu nasi tunanyenyekea mfungo wa Ramadhani....Inapatikana Lakini sio Kwa Lugha ya nguoni
Nguoni tunashangaa yametokea wapi muda huu nasi tunanyenyekea mfungo wa Ramadhani....
Kusameheana na mpango mzima, Ukihitimu mafunzo ya kustahamiliana utakuwa mbora wa watu....!!Ramadhani inatufundisha kustahamiliana Na kusameheana.
Kusameheana na mpango mzima, Ukihitimu mafunzo ya kustahamiliana utakuwa mbora wa watu....!!
Amin,Watu sikuzote tunapewa mitihani wengine wafaulu Na wengine wa shindwa.Tunaomba tuwe tuliye faulu.
Amin,
Faulu ni tuzo humfika mtu makini baada ya kujituma na kujitahidi kwani dunia ni uwanja wa mapambano.....😀 ****
Daima ukiwa mpambanaji utakuwa kama Nabii Daud, kwani alikuwa akiishi kwa jasho lake mwenyewe....Mapambano yanaendelea Daima.