SPY CATCHER
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 285
- 187
Nchini kwa Magufuli
Magufuli akitamkwa pekeyake anakuwa haileti maana inapendeza atamkwe kwa wadhifa wake wa UraisNchini kwa Magufuli
Haiwezekani upata raha za Urais huku wananchi wako wakiwa hawana mlo au mlo mmoja kwa siku.... utakuwa umedhulumu wafuasi wako waliyo kuchaguwa 😀😀😀!!!Nautamani kupata haiwezekani
Haiwezekani upata raha za Urais huku wananchi wako wakiwa hawana mlo au mlo mmoja kwa siku.... utakuwa umedhulumu wafuasi wako waliyo kuchaguwa 😀😀😀!!!
Binaadamu ni kiumbe dhaifu na mwenye ulimi usiokuwa na mfupa lakini ulimi huo una hatari lukuki.....😛😛😛!!Kuchaguwa Ni moja ya jambo la msingi katika maisha ya binaadam
Binaadamu ni kiumbe dhaifu na mwenye ulimi usiokuwa na mfupa lakini ulimi huo una hatari lukuki.....😛😛😛!!
Ulimi huu.. ha-ha-ha-ha umeweka bayana ya kiungo hiki wazi, Lakini nani wakulielewa ispokuwa wachache wenye busara.....Lukuki umelonga ZZ maana ulimi unaanzisha ugomvi.viungo vingine vinateseka.Ulimi unatukana Halafu unapigwa Rungu la kichwa.Ukiulizwa Hali ya kichwa Ulimi wa kwanza kujibu "sijambo" tuchunge Ulimi
Ulimi huu.. ha-ha-ha-ha umeweka bayana ya kiungo hiki wazi, Lakini nani wakulielewa ispokuwa wachache wenye busara.....
Wachache duniani ni wavumbuzi wa kitu... wakifuatiwa na kidogo wenye kupenda hivo vitu.. ila wengi waliyobaki ni kusemana, kutetana na kusengenyana !! kweli tutafika ?Busara na hekima Ni upeo maana sio kila mtu anao.Wasomi Ni Wengi Lakini wenye busara Na hekima Ni wachache
Tutafika lakini labda miaka mingi sana ijayo, ila kwa hali ilivyo sasa hamna matumaini hata kidogoWachache duniani ni wavumbuzi wa kitu... wakifuatiwa na kidogo wenye kupenda hivo vitu.. ila wengi waliyobaki ni kusemana, kutetana na kusengenyana !! kweli tutafika ?
Wachache duniani ni wavumbuzi wa kitu... wakifuatiwa na kidogo wenye kupenda hivo vitu.. ila wengi waliyobaki ni kusemana, kutetana na kusengenyana !! kweli tutafika ?
Tutafika lakini labda miaka mingi sana ijayo, ila kwa hali ilivyo sasa hamna matumaini hata kidogo
Tulichonacho japo ni kidogo, lakini wengine wanatamani wangekipataKidogo Ni kingi danhosnoop maana watu wote hatushukuru tulicho nacho.
Tulichonacho japo ni kidogo, lakini wengine wanatamani wangekipata
Matanga yale yanayofuata baada ya msiba huwa najiuliza yapo tanzania tu au yapo pia hata kwa wazunguWangekipata Ni harusi Ila Kwa wasio shukuru Ni matanga
Matanga yale yanayofuata baada ya msiba huwa najiuliza yapo tanzania tu au yapo pia hata kwa wazungu
Nini ni neno gumu kuanzishia sentensiWazungu wanayo matanga Ila Yao Ni sherehe Na kuangalia Nani atarithi nini.
Nini ni neno gumu kuanzishia sentensi