danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
Chama tawala sio rahisi kuachia madarakaSentensi nyingi unaweza anzisha Na nini.
Nini kilitokea kwenye hafla ya chama?
Chama tawala sio rahisi kuachia madarakaSentensi nyingi unaweza anzisha Na nini.
Nini kilitokea kwenye hafla ya chama?
Chama tawala sio rahisi kuachia madaraka
Rahisi kuachiwa endapo vitatokea vita na machafuko kama kenya, ila sio kwa njia za amaniMadaraka Ni matamu kuachia sio rahisi
Rahisi kuachiwa endapo vitatokea vita na machafuko kama kenya, ila sio kwa njia za amani
Amani ni kitu muhimu sana katika maendeleo ya taifa, na tanzania inasemekana ni moja kati ya nchi zenye amani, sasa sijui kwanini hatuendeleiAmani tunaisikia tu maana ukosefu wa amani Ni majanga makubwa duniani.Watu wanapoteza maisha yao kuitafuta amani
Amani ni kitu muhimu sana katika maendeleo ya taifa, na tanzania inasemekana ni moja kati ya nchi zenye amani, sasa sijui kwanini hatuendelei
Hatuendelei kwa kuwa tunaishi katika Shamba la bibi tumetosheka na mtindo huu wa kutojituma.....Amani ni kitu muhimu sana katika maendeleo ya taifa, na tanzania inasemekana ni moja kati ya nchi zenye amani, sasa sijui kwanini hatuendelei
Mashamba pekee ndiyo yatatugomboa na kutunyanyua kiuchumi hadi juu....l.Hatuendelei Kwa sababu tunalaumu badala ya ya kudhibiti miradi iliyo mbele yetu.
Leo humu JF Nzalendo aliongelea kuhusu Sumbawanga.Kesho panapo majaaliwa Biko Sumbawanga kuangalia mashamba
Mashamba pekee ndiyo yatatugomboa na kutunyanyua kiuchumi hadi juu....l.
Huko huko watatufuata hapo nasi tutaweka masharti ya kujihami.....Juu ndio mwendo maana ZZ inabidi watufate huko huko
'Makusudi kazoea kupost maneno yasiyofaa.Hovyo ina maana anae post bandiko haoni mtiririko wa maneno yasiyopendeza hayapo kwenye uzi huu au anafanya makusudi?
Yasiyofaa kusemwa hazarani tuyakemeeni.'Makusudi kazoea kupost maneno yasiyofaa.
Tuyakemeeni kwa nguvu zetu zote japo tunadanganywa kuna uhuru wa kuongea ila hakuna uhuru usiokuwa na mipakaYasiyofaa kusemwa hazarani tuyakemeeni.
Nasari almanusra auawe ktk ajali ya basi la mwendokasi......Jamani malizeni hii maada muanzishe nyingine zenye kujenga.Huu mchezo mbona kama wawatoto wa nasari
Mwendokasi siku hizi ndo habari ya mjiniNasari almanusra auawe ktk ajali ya basi la mwendokasi......
Hahaha siku moja tunacheka..😀, bali siku sita za weeki tunalia🙁 ....!!Hahaha
Mjini kuna vituko, uhuni lakini mjini shule fundisho la maisha utalipata....Mwendokasi siku hizi ndo habari ya mjini