Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Tazama jinsi nchi ilivyo na utajiri wa mali za asili nashindwa kuelewa tunashida gani
 
Tazama jinsi nchi ilivyo na utajiri wa mali za asili nashindwa kuelewa tunashida gani
Tunashida gani kwenye nchi yetu pamoja na utajiri tuliyonao,swali zito linataka tafakuri ya kina maana kuna matatizo lukuki
 
Hoja zetu zitajibiwa tukiamka salama
Salama salmin ila milango ipo wazi kwa wanajamvi wengine ambao hawapo hapa nyumbani wapo kwenye mabara mengine duniani waendele kuchangia maana muda unatofautiana
 
Kuchangia ni haki ya yeyote, bila kujali wapi walipo. JF ya wote
 
Ahsanteni ningeitamka kama ingekuwa nawashukuru wengi mi nimemshukuru Auz kwa ufafanuzi wake kosa liko wapi

Wapi umeelimishwa? Hawakukujuza namna ya kutumia hekima ya maongezi? Epuka sana u mimi na u wewe na pendelea sana kutumia u wingi.

Ni hekima kubwa sana tuliyokufunda.
 
Back
Top Bottom