mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,036
Yao maneno mengi ila ngoma ya kitoto haikeshiAnjel ni yupi kati yao?

Yao maneno mengi ila ngoma ya kitoto haikeshiAnjel ni yupi kati yao?

Vinakesha kwa kuwa hao kina lulu si watoto tena wamekwisha kubuhu.Haikeshi M-PESa pale jirani na Kona baa lakini, viuno vya kina lulu 0754559635 vinakesha
Nongwa ni kawaida yetu watz ila muungwana upepo ukimvua nguo huchutamakubuhu? ufisadi afanye mamvi akifanya dau nongwa
Huchutama mtu anapojiona anaweza kudhalilika muda wowote.Nongwa ni kawaida yetu watz ila muungwana upepo ukimvua nguo huchutama
Wowote muda haukungoji wala harudi nyumaHuchutama mtu anapojiona anaweza kudhalilika muda wowote.
Nyuma ni mwiko daima mbele.Wowote muda haukungoji wala harudi nyuma
Mchicha sitaweza kuusahau maana niliwahi kula nikaishia kuharisha
Unaonaeeeee hata mbuyu ulianza kama mchicha
Uharee !!! tena ahhh tabia gani hiyo ya kishenziUle mchicha wenye kinyesi lazima uharee
Kishenzi nakisemaga hata shenzitaipu nakisemaga Lakini sijui yake maanaUharee !!! tena ahhh tabia gani hiyo ya kishenzi
Hewa ni wachangiaji wengi ktk hili jamviHewani ndipo tunapofanya kazi (wafanyakazi hewa)
Jamvi linawachangiaji wengi na majukwa pia yapo mengi tatizo maneno yetu,kama kule kwenye lugha nimeona msamiati mpya kuna neno KicharazioHewa ni wachangiaji wengi ktk hili jamvi

Zilizomo.... zikasababisha kikao kikaahirishwaSugu ni ukomavu wa hali ya juu kwa sababu maalumu zilizomo....
Kikaahirishwa na wote waliyo shiriki walilazimika kumsubiri Mwenyekiti wao mhe. mtebetini !!Zilizomo.... sababisha kikao kikaahirishwa