Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Mwisho ya Uzi bado sana kwa sababu mgogoone katoa msamiati wa KICHARAZIO ndiyo tunaufanyiakazi
 
Butu ni nzuri zaidi kwa sababu kali hutumbua majipu kwa hasira sana.
Sana Mkuu saiditawani unapoingia kwenye Uzi huu Jaribu kuperuzi uone bandiko la mwisho limeandikwa nini nawe unganisha toka kwenye hilo bandiko
 
Butu ni nzuri zaidi kwa sababu kali hutumbua majipu kwa hasira sana.
Hasira sana nakimbia jukwaa la siasa Na la udini na kimbilia jukwaa la chemsha bongo maana hili jukwaa sote tunachangia Kwa furaha ya uTanzania.
 
Sana Mkuu saiditawani unapoingia kwenye Uzi huu Jaribu kuperuzi uone bandiko la mwisho limeandikwa nini nawe unganisha toka kwenye hilo bandiko
Bandiko la siku hizi Ni kutumbuliwa tuu kwa viongozi na vigogo wakubwa wakubwa
 
Hasira sana nakimbia jukwaa la siasa Na la udini na kimbilia jukwaa la chemsha bongo maana hili jukwaa sote tunachangia Kwa furaha ya uTanzania.
UTanzania tulionao sisi Ni wa kinafiki Sana Sana viongozi wetu ukiwasikia wakati wanaomba Kura Ni tofauti Na wanayoyatenda hivi sasa
 
UTanzania tulionao sisi Ni wa kinafiki Sana Sana viongozi wetu ukiwasikia wakati wanaomba Kura Ni tofauti Na wanayoyatenda hivi sasa
Sasa sisi tukiwa kama Watanzania nini kifanyike ili kuboresha hali hii?
 
UTanzania tulionao sisi Ni wa kinafiki Sana Sana viongozi wetu ukiwasikia wakati wanaomba Kura Ni tofauti Na wanayoyatenda hivi sasa
Sasa Murefu lazima tuendelee bila ya kulaumu
Maana Hatuwezi kubadilisha kitu lazima tujibadili ili vi-o-ngo-zi watufate
 
Back
Top Bottom