oyayakaranga
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 677
- 397
Yanakukabili mambo mengi sana ktk duniaKimoja ni lishe lakini kuna mengi yanakukabili
Yanakukabili mambo mengi sana ktk duniaKimoja ni lishe lakini kuna mengi yanakukabili
DUNIA duara ulimwengu shujaaYanakukabili mambo mengi sana ktk dunia
Shujaa ni anaeweza kuua SIMBA kwa kutumia mkukiDUNIA duara ulimwengu shujaa
Mkuki wa moyo siutaki maana maumivu ni makali.Shujaa ni anaeweza kuua SIMBA kwa kutumia mkuki
Makali kwenye ncha ila hayaumizi yakiwa butuMkuki wa moyo siutaki maana maumivu ni makali.
Butu ndio nini Mgosani? Au msamiati mpya?Makali kwenye ncha ila hayaumizi yakiwa butu
Mpya!! Butu ni kitu chenye ukali kikakosa ukali kiswahili fasaha kinaitwa butu au hakina makali.Butu ndio nini Mgosani? Au msamiati mpya?
Blunt ni kingereza nakubali ndg.Mgosani... na butt ni kiarabuMpya!! Butu ni kitu chenye ukali kikakosa ukali kiswahili fasaha kinaitwa butu au hakina makali.
Kingereza ni blunt
Kiarabu!amazing mkuu zz butu ni kiswahili fasahaBlunt ni kingereza nakubali ndg.Mgosani... na butt ni kiarabu

Kiongozi hahadayi wafuasi wake.... ujumbe waendao huko wa wajuze wajao huku !!Kiarabu!amazing mkuu zz butu ni kiswahili fasaha View attachment 341486View attachment 341487View attachment 341488
Ushahidi huo kiongozi![]()
Huku wote tunakutambua kuwa hapa wewe ni MkufunziKiongozi hahadayi wafuasi wake.... ujumbe waendao huko wa wajuze wajao huku !!
Mkufunzi hutii kanuni na maelekezo ya Waungwana mfano kwa mtebetiniHuku wote tunakutambua kuwa hapa wewe ni Mkufunzi
Kiongozi ni amiri jeshi hivyo haitatokea Mkuu huyo kuwatelekeza wapiganaji shujaa...Mtebetini ni mswahili wa kawaida sana ambaye hupenda kumsikiliza kiongozi kwani hakuna safari ikakosa kiongozi
Shujaa hawezi kuitwa shujaa kama hakuwa mstari wa mbele kwenye uwanja wa mapambano.Kiongozi ni amiri jeshi hivyo haitatokea Mkuu huyo kuwatelekeza wapiganaji shujaa...
mapambano ndani ya huu uzi utaisha lini?Shujaa hawezi kuitwa shujaa kama hakuwa mstari wa mbele kwenye uwanja wa mapambano.
Mapambano kati ya fahari wawili husababisha majanga na masaibu kwa wanyonge dhaifu....Shujaa hawezi kuitwa shujaa kama hakuwa mstari wa mbele kwenye uwanja wa mapambano.
Lini unategemea ZZ atalipa deni la mtebetini maana imeshakuwa miezi kadha....mapambano ndani ya huu uzi utaisha lini?
Anjel ni yupi kati yao?Kadha wa kadhaa huambukizwa ukimwi kila siku pale kona baa kwa kupenda nyama kwa nyama na kina Angel.