Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Mwingine..?? Kwan kuna mwingine mkuu? Mimi namfahamu huyu huyu mmoja wa siku zote hapa jamviniFaizaFoxy huyu wa siku zote au mwingine..??
Jamvini... ok jamvi la dini, basi sawa la likini kwa anavyopenda jamvi la dini huku hawezi kuja labda kwa vile umemuitaMwingine..?? Kwan kuna mwingine mkuu? Mimi namfahamu huyu huyu mmoja wa siku zote hapa jamvini
Umemuita wewe labda mkuu, mimi mbona sijamuitaJamvini... ok jamvi la dini, basi sawa la likini kwa anavyopenda jamvi la dini huku hawezi kuja labda kwa vile umemuita
Sijamuita, ila wewe ulivyomkwoti mara ya kwanza ndo kumuita kwenyeweUmemuita wewe labda mkuu, mimi mbona sijamuita
Kwenyewe huko veeepeee mkuu, mbona mimi sikua wakwanza, fuatilia vizuri post za juu utaona mwl. RCT ndo alikua wa kwanza kum-quoteSijamuita, ila wewe ulivyomkwoti mara ya kwanza ndo kumuita kwenyewe
China wako serious sana na mambo yao ndo maana sio kitu cha ajabu taifa lao na uchumi wao kwa ujumla kukua kwa kasi
Kati ni kweli tunaweza fika kiuchumi, ila hiyo itategemea kama hii kasi aliyokuja nayo tingatinga itaendeleaKasi aliyo anza nayo tingatinga inaweza kulifikisha taifa letu katika uchumi wa kati.
Utaratibu wa huu uzi ni mzuri sana, inasikitisha kuona wakati mwingine wachache wanauharibuItaendelea hii mada pale tu faiza foxy atakapofuata utaratibu
Utaratibu wa huu uzi ni mzuri sana, inasikitisha kuona wakati mwingine wachache wanauharibu
Wasiofahamu ni wachache sana, wengi wanaoharibu wanafahamu vizuri utaratibu ila wanafanya tu makusudiWanaouharibu ni wale wasiofahamu
Wasiofahamu ni wachache sana, wengi wanaoharibu wanafahamu vizuri utaratibu ila wanafanya tu makusudi
Uungwana siku zote ni kitu kinachotoka moyoni, hatuna budi kukubali hali halisi kua watu tunatofautianaMakusudi wakifanya itakuwa si uungwana
Uungwana siku zote ni kitu kinachotoka moyoni, hatuna budi kukubali hali halisi kua watu tunatofautiana
Tujuane zaidi na zaidi kupitia utofauti wetu, tukishajuana wala hatutaumizana akiliTunatofautiana kwa mengi Mkuu, na Hilo ndilo linalotufanya tujuane.
Tujuane zaidi na zaidi kupitia utofauti wetu, tukishajuana wala hatutaumizana akili