Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,348
- 3,309
Ataiweza kweli kwa maana amejitolea maisha yake kwa ajili ya Taifa letuNchi ya kitu kidogo, mwenyewe ataiweza kweli?
Ataiweza kweli kwa maana amejitolea maisha yake kwa ajili ya Taifa letuNchi ya kitu kidogo, mwenyewe ataiweza kweli?
Taifa letu linahitaji wapambanaji kama Tundu LissuAtaiweza kweli kwa maana amejitolea maisha yake kwa ajili ya Taifa letu
Taifa letu haliwezi bora afanye mambo mengineAtaiweza kweli kwa maana amejitolea maisha yake kwa ajili ya Taifa letu
Mambo mengine kama yapi??Taifa letu haliwezi bora afanye mambo mengine
Kama yapi, yoyote atakayoona yana manufaa kwakeMambo mengine kama yapi??
Kwake kitu bora ni kuiondoa serikali ya CCM madarakaniKama yapi, yoyote atakayoona yana manufaa kwake
Madarakani CCM itakaa sana maana wananchi hatujitambui, tukipewa kofia na kanga tu tuipa kuraKwake kitu bora ni kuiondoa serikali ya CCM madarakani
Kura imekuwa sio haki tena ya kimsingi ya KatibaMadarakani CCM itakaa sana maana wananchi hatujitambui, tukipewa kofia na kanga tu tuipa kura
Katiba yetu nayo imezeeka inabidi ibadilishweKura imekuwa sio haki tena ya kimsingi ya Katiba
Ibadilishwe na Nani!! wakati Jiwe hataki hata kuskia hizo habariKatiba yetu nayo imezeeka inabidi ibadilishwe
Habari hizo ni mbaya kwake maana itampunguzia mamlaka aliyonayoIbadilishwe na Nani!! wakati Jiwe hataki hata kuskia hizo habari
Mamlaka aliyonayo ni pamoja na kubadilisha katiba, sasa sijui kwanini hataki??Habari hizo ni mbaya kwake maana itampunguzia mamlaka aliyonayo
Hataki kwasababu hapangiwi cha kufanyaMamlaka aliyonayo ni pamoja na kubadilisha katiba, sasa sijui kwanini hataki??
Kufanya mema ni utuHataki kwasababu hapangiwi cha kufanya
Cha kufanya hapa ni wananchi kutoipigia kura CCM 2020Hataki kwasababu hapangiwi cha kufanya
2020 hakutakua na chama kikuu cha upinzaniCha kufanya hapa ni wananchi kutoipigia kura CCM 2020
Upinzani utaendelea kuwepo miaka na miaka2020 hakutakua na chama kikuu cha upinzani
Upinzani sio lazima upinge, hata hiki ulichokifanya hapa cha kupost bila kufuata kanuni za huu uzi ni upinzani pia.Mawazo kila siku kichwani kuhusu namna ya kujikwamua kiuchumi limekuwa ni jambo la kawaida sana kwa mtanzania yeyeote haswa baada ya serikali ya ccm kuamua kutumia hela za walipa kodi kuwanunua wabunge na madiwani wa upinzani.
Mshindi kupatikana hapa ni ngumuTena nimerudi kwenye uzi wa wa mwisho ndio mshindi