Upinzani pia? Nani anataka upinzani wakati tunarudi kwenye zama cha chama kushika hatamu za uongoziUpinzani sio lazima upinge, hata hiki ulichokifanya hapa cha kupost bila kufuata kanuni za huu uzi ni upinzani pia.
Upinzani pia? Nani anataka upinzani wakati tunarudi kwenye zama cha chama kushika hatamu za uongoziUpinzani sio lazima upinge, hata hiki ulichokifanya hapa cha kupost bila kufuata kanuni za huu uzi ni upinzani pia.
Uongozi unahitaji uvumilivu,hekima na busara piaUpinzani pia? Nani anataka upinzani wakati tunarudi kwenye zama cha chama kushika hatamu za uongozi
Pia upendo kwa unaowaongozaUongozi unahitaji uvumilivu,hekima na busara pia
Unaowaongoza itafika kipindi watachokaPia upendo kwa unaowaongoza
Watachoka vipi wakati uchumi umekuaUnaowaongoza itafika kipindi watachoka
Umekuwa wapi mtaani watu wanalalamikaWatachoka vipi wakati uchumi umekua
Umekua vipi wakati pesa zote na madili yote ya serikali ameyakamatia DAB na baba yake?Hela mtaani hakuna mzee baba na ukionekana wewe ni kihere here cha kumsema mtoto pendwa wanakusukumia kesi za madawa ya kulevya.Yani unapigwa Lupango moja kwa mojaWatachoka vipi wakati uchumi umekua
Wanalalamika kwa kuwa hawafanyi kazi, wanaofanya kazi wanapata pesaUmekuwa wapi mtaani watu wanalalamika
Wanalalamika kuwa hali ya uchumi ni mbaya ili serikali ichukue hatua za haraka alafu matokeo yake wanaambiwa kuwa wao walikuwa wapigaji ma deal.Umekuwa wapi mtaani watu wanalalamika
Pesa kweli ni sabuni ya roho.Wanalalamika kwa kuwa hawafanyi kazi, wanaofanya kazi wanapata pesa
Pesa ni kitu muhimu bila pesa hakuna maishaWanalalamika kwa kuwa hawafanyi kazi, wanaofanya kazi wanapata pesa
Ma deal mengi yanaendeshwa na hao haoWanalalamika kuwa hali ya uchumi ni mbaya ili serikali ichukue hatua za haraka alafu matokeo yake wanaambiwa kuwa wao walikuwa wapigaji ma deal.
Hao hao walalamikaji au walalamikiwa?Ma deal mengi yanaendeshwa na hao hao
Walalamikiwa kwa sababu wao ndio wanaowaongoza walalamika na hakuna mlalamikaji mwenye ubavu wa kumpinga mlalamikiwa labda kama amechoka kuishiHao hao walalamikaji au walalamikiwa?
Kuishi kwingi ni kuona mengi, ngoja tuendelee kuonaWalalamikiwa kwa sababu wao ndio wanaowaongoza walalamika na hakuna mlalamikaji mwenye ubavu wa kumpinga mlalamikiwa labda kama amechoka kuishi
kuona si tatizo bali kujifunza kutokana na unachokionaKuishi kwingi ni kuona mengi, ngoja tuendelee kuona
Kuona mazuri, mabaya yote ni sehemu ya maisha kikubwa kuheshimianaKuishi kwingi ni kuona mengi, ngoja tuendelee kuona
kuheshimiana huja pale kunapokuwa na tofauti za kiuchumiKuona mazuri, mabaya yote ni sehemu ya maisha kikubwa kuheshimiana
Unachokiona wewe mimi sikionikuona si tatizo bali kujifunza kutokana na unachokiona
😁sikioni kuna ngoma ambayo husaidia kusafilisha mawimbi ya sauti ili upate kusikiaUnachokiona wewe mimi sikioni