Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,275
- 4,607
Salama ya chaji nikuwa na chaji nyingi za simu..Utamu wa jf haujawahi kuiacha chaji ya simu salama.
Salama ya chaji nikuwa na chaji nyingi za simu..Utamu wa jf haujawahi kuiacha chaji ya simu salama.
Simu yangu ina chaja moja pekeeSalama ya chaji nikuwa na chaji nyingi za simu..
Pekee moja haiwezi himili..lakini ukiwa vijijini-vijijini umeme taabu Jf itakupita.Simu yangu ina chaja moja pekee
Aisee mambo vipi..
Jf itakupita kweli kama utakuwa kijijini. Ndio hivyo itabidi uingie kwa kipindiPekee moja haiwezi himili..lakini ukiwa vijijini-vijijini umeme taabu Jf itakupita.
Kipindi ukiwa kijijini ndio utagundua kijani kibichi hawastahili kuwepo hadi leo....hali mbaya wakutisha umasikini.Jf itakupita kweli kama utakuwa kijijini. Ndio hivyo itabidi uingie kwa kipindi
Umasikini una sababishwa na nini?...Kipindi ukiwa kijijini ndio utagundua kijani kibichi hawastahili kuwepo hadi leo....hali mbaya wakutisha umasikini.
Nini sababu ya umasikini,mosi miundombinu mibovu,elimu mbovu na sekta mbovu za Afya na sera mbovu za serikali husika..pili wananchi husika wa eneo hilo ,zipo sababu nyingi tu.Umasikini una sababishwa na nini?...
Umasikini tusiujadili sana mana hauna dalili ya kuisha. Leo nimeamini mambo tunayoyafanya kila kukicha kuna mengine huwa yanajirudia umekumbuka?...Nini sababu ya umasikini,mosi miundombinu mibovu,elimu mbovu na sekta mbovu za Afya na sera mbovu za serikali husika..pili wananchi husika wa eneo hilo ,zipo sababu nyingi tu.
Wewe waona zipi sababu za umasikini...?
Umasikini husababishwa na mtu kuzaliwa ktk umasikiniNini sababu ya umasikini,mosi miundombinu mibovu,elimu mbovu na sekta mbovu za Afya na sera mbovu za serikali husika..pili wananchi husika wa eneo hilo ,zipo sababu nyingi tu.
Wewe waona zipi sababu za umasikini...?
Umaskini huu basi Ngoja tuupozee na wimbo wa Fat Joe ft Ashanti-what's Love...nimekumbuka emmyta sinikujilirudia kwa maada..?Umasikini husababishwa na mtu kuzaliwa ktk umasikini
Maada au swali ulishawahi kuniuliza leo kibao kimegeuka limekuwa kwako.Umaskini huu basi Ngoja tuupozee na wimbo wa Fat Joe ft Ashanti-what's Love...nimekumbuka emmyta sinikujilirudia kwa maada..?
Kwako umekuwa mwepesi wa kumbukumbu hahahaha hongera..ati dunia ni duara.Maada au swali ulishawahi kuniuliza leo kibao kimegeuka limekuwa kwako.
Dunia duara kweli kabisa. Hahaaa. Kumbe we ulishasahau mi nilivyoona neno umasikini tu nikakumbuka.Kwako umekuwa mwepesi wa kumbukumbu hahahaha hongera..ati dunia ni duara.
Nikakumbuka kipindi kile nafundishwa kitabu cha watoto wa mama ntilie mwalimu alikuwa mkali..kumbukumbu ipo ya neno umasikini lakini yakukuuliza sababu za umasikini nilikuwa sina.Dunia duara kweli kabisa. Hahaaa. Kumbe we ulishasahau mi nilivyoona neno umasikini tu nikakumbuka.
Furaha ni jambo na nguzo umuhimu katika maisha ya mwanadamuNikakumbuka kipindi kile nafundishwa kitabu cha watoto wa mama ntilie mwalimu alikuwa mkali..kumbukumbu ipo ya neno umasikini lakini yakukuuliza sababu za umasikini nilikuwa sina.
Hahaha ni furaha.
Maisha ya mwanadamu yanakuwa na siri nzito sanaFuraha ni jambo na nguzo umuhimu katika maisha ya mwanadamu
Sana kwakweli ni kumuachia MollahMaisha ya mwanadamu yanakuwa na siri nzito sana
Siri nzito ya maisha tunayo matajiri tuMaisha ya mwanadamu yanakuwa na siri nzito sana
Tu-tafika pande zote za dunia endapo tutatia nia.Siri nzito ya maisha tunayo matajiri tu