Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,110
- 122,503
Yamezani pia situmii mie. Mzima weye?Hatumii simu hata ya mezani?
Yamezani pia situmii mie. Mzima weye?Hatumii simu hata ya mezani?
Weye Pia mzima? Mimi mzima bukheri wa afya kabisaaYamezani pia situmii mie. Mzima weye?
Kabisaa nafurahi kukuona tenaWeye Pia mzima? Mimi mzima bukheri wa afya kabisaa
Tena nimewa miss sana friendsKabisaa nafurahi kukuona tena
Tena nawashangaa mnavyojibizana pekee yenu, sisi tumekodoa macho hapaKabisaa nafurahi kukuona tena
Tena nawashangaa mnavyojibizana pekee yenu, sisi tumekodoa macho hapa
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unakimbia nini sasa mdogo wangu njoo tu naweweNawewe unataka nije ili unichape![]()
![]()
unakimbia nini sasa mdogo wangu njoo tu nawewe
Pembeni usikae karibu tujumuike ktk uzi PendwaNawewe unataka nije ili unichape![]()
![]()
![]()
Uzi pendwa kwa kila mmoja anayejisikia kuchangiaPembeni usikae karibu tujumuike ktk uzi Pendwa
Kuchangia vifaa vya ncha kali ni hatariUzi pendwa kwa kila mmoja anayejisikia kuchangia
Kuchangia huduma kama ile iliyokuwa inajadiliwa jana?Uzi pendwa kwa kila mmoja anayejisikia kuchangia
Jana ukakimbia eti kisa nilikuuliza lile swaliKuchangia huduma kama ile iliyokuwa inajadiliwa jana?
Swali gani hilo na sisi tulijue?Jana ukakimbia eti kisa nilikuuliza lile swali
Tulijue wote ngoja nikwambie. Mwifwa alipita sehemu watu akakuta watu wanajadili kuhusu wanaume kuwahudumia wanawake. Mi baada ya kumuona nikamuuliza kwani we mdogo wangu uhudumii. Basi baada ya swali lile akakimbia na kukimbia sikumuona tenaSwali gani hilo na sisi tulijue?
Tena swali kama hilo alitakiwa kujibu kwa ufasaha. Labda anatafuta majibu sahihi zaidi msubiri anajipanga kulijibuTulijue wote ngoja nikwambie. Mwifwa alipita sehemu watu akakuta watu wanajadili kuhusu wanaume kuwahudumia wanawake. Mi baada ya kumuona nikamuuliza kwani we mdogo wangu uhudumii. Basi baada ya swali lile akakimbia na kukimbia sikumuona tena
Tena ni bora tu atuambie hapa hapa.Tulijue wote ngoja nikwambie. Mwifwa alipita sehemu watu akakuta watu wanajadili kuhusu wanaume kuwahudumia wanawake. Mi baada ya kumuona nikamuuliza kwani we mdogo wangu uhudumii. Basi baada ya swali lile akakimbia na kukimbia sikumuona tena
Kulijibu sidhani mana aliniambia tusiite kuhudumia bali waite msaada eti ndio lingetoa maana nzuri.Tena swali kama hilo alitakiwa kujibu kwa ufasaha. Labda anatafuta majibu sahihi zaidi msubiri anajipanga kulijibu
Maana nzuri angeita huduma sio msaada. Lakini huwezi jua anamaana yake. Ipo siku atakufafanulia vizuriKulijibu sidhani mana aliniambia tusiite kuhudumia bali waite msaada eti ndio lingetoa maana nzuri.