Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,106
- 122,492
Tuambie ni kweli eti. Halafu marcus kuna sehemu uliniambia nina upepo ni wa nini ule sikuujua maana yake ujue.Siri nzito ya maisha tunayo matajiri tu
Tuambie ni kweli eti. Halafu marcus kuna sehemu uliniambia nina upepo ni wa nini ule sikuujua maana yake ujue.Siri nzito ya maisha tunayo matajiri tu
Ujue ukiambiwa una upepo ni sawa na kuambiwa una nyota ya kupendwaTuambie ni kweli eti. Halafu marcus kuna sehemu uliniambia nina upepo ni wa nini ule sikuujua maana yake ujue.
Nyota ya kupendwa ndio ulimaanisha kumbe. Haya bana mzima?..Ujue ukiambiwa una upepo ni sawa na kuambiwa una nyota ya kupendwa
Mzima kabisa mdogo wangu mpendwaNyota ya kupendwa ndio ulimaanisha kumbe. Haya bana mzima?..
Mpendwa wako hajambo? Halafu nakuona kelvin huo ukubwa wa lini mbona dada yako sina habariMzima kabisa mdogo wangu mpendwa
Habari gani tena na stori zimezagaa wewe sio muhengaMpendwa wako hajambo? Halafu nakuona kelvin huo ukubwa wa lini mbona dada yako sina habari
Sasa naona umeamua kunichota kabisa ,wahenga wa kisasa tunaanzia miaka thelathini zikiwemo busara na hekima za kutosha ndani yakeMuhenga ni kuanzia miaka mingapi kwani.Jidanganye tu kelvin muulize mdogo wangu Mwifwa akwambie mi nilivyokula chumvi ninaelekea 50 sasa.
![]()
![]()
![]()
Ndani yake kwani sina busara na hekimaSasa naona umeamua kunichota kabisa ,wahenga wa kisasa tunaanzia miaka thelathini zikiwemo busara na hekima za kutosha ndani yake
Hekima na busara unaweza ukawa navyo ila kama umeweza kunidanganya mimi hivo vyote ni bureNdani yake kwani sina busara na hekima
Bure ina masimangoHekima na busara unaweza ukawa navyo ila kama umeweza kunidanganya mimi hivo vyote ni bure
Masimango yanakondeshaBure ina masimango
Masimango ni hulka ya wanadamuBure ina masimango
Yanakondesha haswa yakiwa ya mara kwa maraMasimango yanakondesha
Mara ya mwisho kulia ni janaYanakondesha haswa yakiwa ya mara kwa mara
Jana na leoMara ya mwisho kulia ni jana
Leo siendiJana na leo
Siendi mi pia mpaka siku ukienda tunaenda woteLeo siendi
Wote wamepatikanaSiendi mi pia mpaka siku ukienda tunaenda wote
Wote humu wazima jamaniiSiendi mi pia mpaka siku ukienda tunaenda wote