Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,117
- 122,526
Inayoendelea kwa kasi ya ajabuTanzania ni nchi inayoendelea
Inayoendelea kwa kasi ya ajabuTanzania ni nchi inayoendelea
"Ajabu ni kwamba mpaka leo sijamuona anayefaa"alizungumza mdada yule Huku akiniacha ktk hali ya kigagazikoInayoendelea kwa kasi ya ajabu
Ajabu sana ukifanya kosa halafu unaanza kulalamikia mtu mwingineInayoendelea kwa kasi ya ajabu
Mwingine ni nani anaetaka kwenda serengeti kesho?Ajabu sana ukifanya kosa halafu unaanza kulalamikia mtu mwingine
Kesho ni siku njema kwanguMwingine ni nani anaetaka kwenda serengeti kesho?
Kwangu pia itakuwa njemaKesho ni siku njema kwangu
Amen amen ni mwitikio wa waumini baada ya maombiNjema kwa sote tutakao amka na maombi juu ya Maisha yetu, familia, ndugu, viongozi wa tabaka zote kuanzia nyumba kumi hadi raisi wa Nchi yetu JPM, na mwisho uongozi wa Allah katika kutenda mema, Amen
Kwangu panatosha lakini kwake wa vyeti vya kugushi au kusaini mikataba feki kwake hapatoshiKesho ni siku njema kwangu
Maombi yangu ni kuona Tanzania inavuka ktk changamoto zinazoikabiliAmen amen ni mwitikio wa waumini baada ya maombi
Hapatoshi kwa sababu sehemu iliyopo ni ndogo kulinganisha na idadi ya watu watakohudhuriaKwangu panatosha lakini kwake wa vyeti vya kugushi au kusaini mikataba feki kwake hapatoshi
Tuachieni makenikia madini ondokeni nayo nyie wawekezaji kupitia viwanja vya ndege kwenye migodiMafisi mtahangaika kutwa na mifupa, sie minofu tuachieni...!!
Migodi ya ninjTuachieni makenikia madini ondokeni nayo nyie wawekezaji kupitia viwanja vya ndege kwenye migodi
Nini usichokijua kuhusu uwekezaji!Migodi ya ninj
Uwekezaji naujua tangu ripoti itoke ni ulaji tuNini usichokijua kuhusu uwekezaji!
Tufanyeje sasa ili tuweze kufaidika na rasilimali zetuUwekezaji naujua tangu ripoti itoke ni ulaji tu
Zetu rasilimali zinaitaji kusimamiwa na wazelendo chini ya mwamvuli wa sheria kaliTufanyeje sasa ili tuweze kufaidika na rasilimali zetu
Sheria Kali haziwezi suala ni kumakinika tu kwa kila mtuZetu rasilimali zinaitaji kusimamiwa na wazelendo chini ya mwamvuli wa sheria kali
Mtu akiwa muaminifu na akitimiza wajibu wake, tutasonga mbeleSheria Kali haziwezi suala ni kumakinika tu kwa kila mtu
Mtu anaeza wakilisha watz wengi kama akisimamiwa na sheria makini, yep zilizo tungwa na watu makiniSheria Kali haziwezi suala ni kumakinika tu kwa kila mtu