mzado
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 1,023
- 1,534
Ndani umeandaa nnKaribu jirani mpaka ndani..
Ndani umeandaa nnKaribu jirani mpaka ndani..
Nn au nini ulichokimaanisha?Ndani umeandaa nn
Mungu ni mwema hakikaTupo mwezi mtukufu ni kipindi cha kukirimiana na kukaribishana tupate swawabu na baraka za Mwnyez Mungu
Nishuke kwenye mashuke nipande mtumbwiHakika kwa hali hii ya uchumi Tanzania simama..me nishuke.![]()
Mtumbwi tena jamaniNishuke kwenye mashuke nipande mtumbwi
Sasa wewe hukuelewaJamani nini sasa?
Itakuwa wewe bhanaHukuelewa wewe itakuwa
Makasia,? Ndio nin unatuongopea weweBhana eeeh! Hivi ni makinikia au makasia??
Hukuelewa kwa sababu ulikuwa na furaha sana happy born day Dada yanguSasa wewe hukuelewa
Yangu macho mdogo wangu, sio kwa wivu huo toka jumapili kweeeliHukuelewa kwa sababu ulikuwa na furaha sana happy born day Dada yangu
Kweli usilolijua sawa na usiku wa Giza ungejua nimejuaje usingenihukumu mapema hivyo Dada aiseee wewe acha tuYangu macho mdogo wangu, sio kwa wivu huo toka jumapili kweeeli
tu nini huto na twa kazi gani?...Kweli usilolijua sawa na usiku wa Giza ungejua nimejuaje usingenihukumu mapema hivyo Dada aiseee wewe acha tu
Gani!! Acha kushangaa wakati unajua kila kitutu nini huto na twa kazi gani?...
Kitu cha Arusha? Wee acha kabisa...Gani!! Acha kushangaa wakati unajua kila kitu
Bhana mm napita tu.Itakuwa wewe bhana